Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,272
poa poa all the best.... hyo gari ipo njema sanaHamna noma mkuu, nilitaka kujua tu mziki wake barabarani ukoje ili huko mbele siku tukiokota hela u never know itatafutwa labda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa poa all the best.... hyo gari ipo njema sanaHamna noma mkuu, nilitaka kujua tu mziki wake barabarani ukoje ili huko mbele siku tukiokota hela u never know itatafutwa labda
kesho ntakuwa nimezipata ntakuwekea hapaAisee naomba uniwekee mkuu,naweza kukesha nacheki hizi mambo
kama atabaki na engine ya 1G... hapo anatakiwa afanye ECU remap then achange exhaust systeam aweke larger one then acheze na body.... rougly 1.5-2 ml simple mods ila ataona changesUnaweza roughly ukamkadiria kuchezea kwny ngapi hivi,just ana estimate mkuu.
Poa mkuu,shukrani sana.kesho ntakuwa nimezipata ntakuwekea hapa
Filimbi utaikuta kwenye subaru foresta hii gari naikubali sana kuliko crown athlete
kama atabaki na engine ya 1G... hapo anatakiwa afanye ECU remap then achange exhaust systeam aweke larger one then acheze na body.... rougly 1.5-2 ml simple mods ila ataona changes
akitaka atishe zaidi afanye swap ya 1jz-gte ambayo itamcost maana itabidi aitafute hyo mashine
ila kwa simple mods ya 1g ..kwa frisby atafanyiwa ecu remap... perfomnce exhaust na body work 2ml
Sure hapo mods zimehusika.turbo whistle ya forester stock sidhani kama inasikika kihivyo.... maybe uliyoisikia haikuwa stock engine
HahahahaaaaaAlteza yangu ni hii..[emoji85] [emoji85] [emoji85] View attachment 900276
Aisee shukran sana mkuu,1 more question mkuu.
Najua stock 1g-fe hp ni 140 wakiifanyia tuning using hio hio 1g engine inaweza hp ikasogea mpk hata ngapi kwa kukadiria tu mkuu.
Saana. Cha kushangaza, kwa wanaonunua gari mpya, wanasema manual ni bei ndogo kuliko automatic. Sasa sijui inakuwaje kwenye used mambo yanabadilika.Aisee bei ya used car manual sio ya mchezo mchezo ndio maana watu wananunua auto wanakuja kuzi swap huku huku bongo tu.
Hizo gari ni nzuri aise. Na bei zake sasa hivi sio kivile, na kodi iko chini. LS460 inavutia, ila bado bei iko juu saana.Aisee celsior ya 2003 ile trimlevel ilikua ndio gari ya ndoto yangu miaka ya zamani kidogo(hii ndio lexus ls 430),niliikutaga sehemu interior yake ilikua ya kisasa balaa ilikua ahead of its time aisee+riding yake ni very very smooth.
Nalijua hilo gari. Hivyo vigari safi saana kama unaendesha for fun. Sasa hivi wametengeneza kingine kinaitwa GT86, kuanzia mwaka 2012. Sasa hivi bado kina gharama saana.Toyota sijui imekuaje sijui siku hizi zamani kulikua na magari mazuri ukilifanyia mods linakaa mkao sana,kuna gari kama "toyota mr2 sw20 turbo" unalisoma mkuu?
Hizi gari nzuri ila unyonyaji wake wa mafuta usijifikilie ya kudunduliza..kam celsior zinagonga zaid 4000cc Ila ni tamu saana ndani hadi kuendeshaHizo gari ni nzuri aise. Na bei zake sasa hivi sio kivile, na kodi iko chini. LS460 inavutia, ila bado bei iko juu saana.
Hehehee, unaweza kutupatia comparison tukajua utofauti.Na sisi wenye BMW tunachanganya comments zetu na zenu au tunacomment wapi
Nafikiri ilikuwa kweli kwenye gari za kizamani na hasa za Marekani. Unakuta ina cc4000, V8, ila horsepower hazifiki 200. Ila za kisasa wamejitahidi saana. Ukihitaji performance, basi na mafuta inakunywa saana, ila ukiendesha kawaida, mafuta inatumia vizuri tuu.Aisee ni kweli kuna kipindi niliwahi kuulizia khs consuption ya Nissan Cima 4.5l V8 model ya 2005 lkn majibu niliyopewa yalinikatisha tamaa balaa.
Lkn nilichokuja kujua tunawauliza wrong person,inabd kuuliza kwa mtu sahihi atleast mwenye li gari v8 anaweza kutoa jibu sahihi.
Ni kweli. Najua hata gharama za matunzo zitakuwa juu. Mfano ulinunua ile yenye air suspension, ikizingua gharama yake sio ya kitoto. Ile inafaa mtu mwenye gari zaidi ya moja, analitumia kwenye matukio muhimu tu, sio matumizi ya kila siku.Hizi gari nzuri ila unyonyaji wake wa mafuta usijifikilie ya kudunduliza..kam celsior zinagonga zaid 4000cc Ila ni tamu saana ndani hadi kuendesha
mzigo huu hapa ninazo video sema zinakataa kuapload nimeamua kukupa links za instaPoa mkuu,shukrani sana.
Sawa mkuu nimekusoma fresh sana,appreciate sana.kwa mods nilizomention huwa unagain just few bhp... huwa hazizidi 15 ... sema tu ukifanya maping engine inakuwa inarun smooth zaidi na nyepesi pia maana zile limit setting za manufacture mnakuwa mmeziondoa