Crown ni kma IST ty resale value yake inashuka kila muda
hapo si bora nichukue VXR mkononi napata hata kwa 155 kiroho safi tena imenyooka, ukifurukuta sana unapata Sahara kabisaTRA wakiweka kodi zao ni bei ya LC 200
mwamba lexus huyu hapa live akichanja mbuga....AMG anafika mpk 320km/hr
Uzi ni mzuri ila kuweka neno benz ushafeli..unafananishaje benz na crown how yaan? Ebu dadavua kidogo. Benz ni benz huwezi kufananisha na crown, crown ni cheap car saaaaana kiufupi ni ya vijana ambao bado hawana heraa. Ungesema tako la nyani angalau tungekuelewa. Ila utakua kijana wa daslaam wewe ukilala unaota crown tu #bloodbastad
OohToyota Crown zilizo nyingi ni Grs180/182/184, kama hiyo uzao wa series Grs200/202/204 bado zipo chache na bei imesimama.
Ha ha ha kwahio ukitupita kwenye hio Harrier yako unaamini tunaendesha Crown kwasababu hatu-afford tako la nyami. Vijana mna safari ndefu sana.Uzi ni mzuri ila kuweka neno benz ushafeli..unafananishaje benz na crown how yaan? Ebu dadavua kidogo. Benz ni benz huwezi kufananisha na crown, crown ni cheap car saaaaana kiufupi ni ya vijana ambao bado hawana heraa. Ungesema tako la nyani angalau tungekuelewa. Ila utakua kijana wa daslaam wewe ukilala unaota crown tu #bloodbastad
Speed yote hii unakimbilia wapmwamba lexus huyu hapa live akichanja mbuga.... View attachment 2449180
Samahani mkuu ila crown nadhani kuelekea 2023 tungeacha kuziongelea maana gari inauzwa mpaka mil6 bwana ila samahani sana kama nimekugusa gari ni gari ila tusianze kubrag kuhusu crown its not a car to brag.Ha ha ha kwahio ukitupita kwenye hio Harrier yako unaamini tunaendesha Crown kwasababu hatu-afford tako la nyami. Vijana mna safari ndefu sana.
Sawa mkuu.Samahani mkuu ila crown nadhani kuelekea 2023 tungeacha kuziongelea maana gari inauzwa mpaka mil6 bwana ila samahani sana kama nimekugusa gari ni gari ila tusianze kubrag kuhusu crown its not a car to brag.
Niwashauri kitu kimoja ndugu zangu. Kwemye thread hizi za comparison, kama hujawahi kuendesha/kumiliki gari zinazongumziwa baki uwe msomaji tu.
Mtu hujawahi kuendesha Benz au Crown halafu unasema Crown au Benz ni bora kuliko so and so.
Samahani mkuu ila crown nadhani kuelekea 2023 tungeacha kuziongelea maana gari inauzwa mpaka mil6 bwana ila samahani sana kama nimekugusa gari ni gari ila tusianze kubrag kuhusu crown its not a car to brag.
Samahani mkuu heshima kwako we should respect ones hustle. Don't get nervously wamiliki wa crown ni watani wangu sanaUnajua lakini crown zinaedelea kutoka new model
Tuacha kuongelea zipi? Hizi GRS180 ?au zote
Basi tuache kuongelea Landcruiser maana sahiz tupo 300series kwasababu kuna landcruiser miaka ya nyuma mtaani kwako inauzwa mil 30?.very poor reasoning [emoji706]