Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Watu wasio na exposure wakiambiwa gari fulani ni taxi ulaya wanaanza kufananisha na hizi carina taxi za bongo.
Halafu nauli ni kawaida kabisa,ila kwa bongo ukimiliki mercedes wewe tajiri 😀
