Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

Nmeangalia ile video
Ukweli lazima usemwe
Kene performance Germany machine tusilinganishe na hizi Japannese machine kama crown tunazionea[emoji28]

Kampuni kama BMW,Vw,Mercedes wanainvest saana kutengeneza performance engine sometimes wana overengineer ndo sababu engine zao zina faults nyingi kutokana na complexity

Katika maisha yangu ya ujana Golf MK6 lazima ntamiliki
Siku nkijisikia kunyanyasa watu barabarani [emoji23]
Mfuko ukiruhusu chukua benz mzee. Benz miaka na miaka ndo wanaset benchmark linapokuja suala la engineering.
 
Nmeangalia ile video
Ukweli lazima usemwe
Kene performance Germany machine tusilinganishe na hizi Japannese machine kama crown tunazionea[emoji28]

Kampuni kama BMW,Vw,Mercedes wanainvest saana kutengeneza performance engine sometimes wana overengineer ndo sababu engine zao zina faults nyingi kutokana na complexity

Katika maisha yangu ya ujana Golf MK6 lazima ntamiliki
Siku nkijisikia kunyanyasa watu barabarani [emoji23]
mkuu wa kazi golf tena?
 
mkuu wa kazi golf tena?

Mkuu taji la speed si tushampa Golf GTI au[emoji28]
IMG_4637.jpg
 
Jemedaree ulikuwa unauliza kama kuna barabara hapa bongo gari inafika 260, hapo vyuma vilikuwa vinaenda Arusha kuwakalisha mkoa na vilibomoa gari za chuga.

Nmekubalii mkuu

Kikubwa ni acceleration na stability ya gari
Gari inayochanganya faster na brake nzuri inafika vizuri
Nimesafiri juzi Dar-Arusha mkeka saafi hata traffic wamepungua sana[emoji28]
 
Golf mk6 unqapata 20+m ila hii bmw utachagua uchukue hyo au discovery 4 [emoji23][emoji23]
Volkswagen wapo vizuri kwenye gear box zao za DSG TRANSMISSION angalia gari kama GTI inavyochanganya mapema ni balaa la hatari..
Gear zinaingia Kwa namba 2-4-6 huku clutch plate nyingine imezuia gear namba 1-3-5 yaani ni kama vile gari inatumia gear box mbili kwenye gari moja.. hapa ndipo mjapan anapigwa MAKOFI barabarani na mjerumani ni kama vile BMW kwenye upande wa engine zenye nguvu hawa ndiyo wataalamu
 
Volkswagen wapo vizuri kwenye gear box zao za DSG TRANSMISSION angalia gari kama GTI inavyochanganya mapema ni balaa la hatari..
Gear zinaingia Kwa namba 2-4-6 huku clutch plate nyingine imezuia gear namba 1-3-5 yaani ni kama vile gari inatumia gear box mbili kwenye gari moja.. hapa ndipo mjapan anapigwa MAKOFI barabarani na mjerumani ni kama vile BMW kwenye upande wa engine zenye nguvu hawa ndiyo wataalamu

Mkuu nmefatilia hii kitu DSG[emoji91]
Hebu eleza vizuri hapa DSG
kwamba inatoka gear 2 straight gear 4?
 
Volkswagen wapo vizuri kwenye gear box zao za DSG TRANSMISSION angalia gari kama GTI inavyochanganya mapema ni balaa la hatari..
Gear zinaingia Kwa namba 2-4-6 huku clutch plate nyingine imezuia gear namba 1-3-5 yaani ni kama vile gari inatumia gear box mbili kwenye gari moja.. hapa ndipo mjapan anapigwa MAKOFI barabarani na mjerumani ni kama vile BMW kwenye upande wa engine zenye nguvu hawa ndiyo wataalamu
Tatizo vidimbwi tu ndiyo teknolojia yao iliposhindwa kuvuka
 
Hii yangu bado mpya
Nmeagiza mwenyewe mwaka huu

So nmefanya service castrol oil ,oil filter,air filter vyote og nmebadili oxygen sensor 1. So chuma iko poaa

Nazani kitu kinachoongeza ulaji wa mafuta
Ni poor services

Mfano jamaa angu ana crown kaweka plug za efu 15
Wakati plug OG zinaanzia efu40 @,oilfilter ya efu10[emoji2]
Gari lazima itakula mafuta tu,weka vitu og
Uliagiza kwa bei gani?
 
Zote ni za generation moja na ni the same engine ..
Uzito zimepishana kidogo ..crown imezidi kidogo this allows it to be more comfortable and stability ipo poa zaidi..all in all kila mtu ana personal interest zake ila muonekano wa crown ni far much better than mark x
Umesema kweli kila mtu na interest yake.Mfano mm nikisia sijui Crown sijui mark x hata sisimki kama nikisia corola x.
Hapo haunitoi hata unambie nn,sijui nina matatizo gani.
 
Back
Top Bottom