Mfuko ukiruhusu chukua benz mzee. Benz miaka na miaka ndo wanaset benchmark linapokuja suala la engineering.Nmeangalia ile video
Ukweli lazima usemwe
Kene performance Germany machine tusilinganishe na hizi Japannese machine kama crown tunazionea[emoji28]
Kampuni kama BMW,Vw,Mercedes wanainvest saana kutengeneza performance engine sometimes wana overengineer ndo sababu engine zao zina faults nyingi kutokana na complexity
Katika maisha yangu ya ujana Golf MK6 lazima ntamiliki
Siku nkijisikia kunyanyasa watu barabarani [emoji23]
This is german vs german sasa hapo unadhani japanese zetu hizi zilizo bongo hapa zitakaribia???
View attachment 2788708
v8 lc 200 kwenye tuta ndio utaona umuhimu wake....Wiki iliopita nimesafir na v8 LC200 asee kiukweli sioni utofauti na crown kwenye swala la comfort inshort...niliinjoy sana safari za crown kuliko LC 200
mkuu wa kazi golf tena?Nmeangalia ile video
Ukweli lazima usemwe
Kene performance Germany machine tusilinganishe na hizi Japannese machine kama crown tunazionea[emoji28]
Kampuni kama BMW,Vw,Mercedes wanainvest saana kutengeneza performance engine sometimes wana overengineer ndo sababu engine zao zina faults nyingi kutokana na complexity
Katika maisha yangu ya ujana Golf MK6 lazima ntamiliki
Siku nkijisikia kunyanyasa watu barabarani [emoji23]
Jemedaree ulikuwa unauliza kama kuna barabara hapa bongo gari inafika 260, hapo vyuma vilikuwa vinaenda Arusha kuwakalisha mkoa na vilibomoa gari za chuga.
CHuma haikamatikiMkuu taji la speed si tushampa Golf GTI au[emoji28]
View attachment 2790392
Mkuu taji la speed si tushampa Golf GTI au[emoji28]
View attachment 2790392
Tatizo uchumi
Bmw 128 Ti ni chaguo zuri pia kwa wapenda hatchback, hata mwendo Golf Gti inakaa.
😂😂😂Shambulio la kisaikolojia.
HAHAHAHA KWAMBA ACHAGUE BM AU DISCOGolf mk6 unqapata 20+m ila hii bmw utachagua uchukue hyo au discovery 4 [emoji23][emoji23]
Volkswagen wapo vizuri kwenye gear box zao za DSG TRANSMISSION angalia gari kama GTI inavyochanganya mapema ni balaa la hatari..Golf mk6 unqapata 20+m ila hii bmw utachagua uchukue hyo au discovery 4 [emoji23][emoji23]
Volkswagen wapo vizuri kwenye gear box zao za DSG TRANSMISSION angalia gari kama GTI inavyochanganya mapema ni balaa la hatari..
Gear zinaingia Kwa namba 2-4-6 huku clutch plate nyingine imezuia gear namba 1-3-5 yaani ni kama vile gari inatumia gear box mbili kwenye gari moja.. hapa ndipo mjapan anapigwa MAKOFI barabarani na mjerumani ni kama vile BMW kwenye upande wa engine zenye nguvu hawa ndiyo wataalamu
Ndiyo zinaingia gear kwa mtindo huo kutokana na dual clutch platesMkuu nmefatilia hii kitu DSG[emoji91]
Hebu eleza vizuri hapa DSG
kwamba inatoka gear 2 straight gear 4?
Tatizo vidimbwi tu ndiyo teknolojia yao iliposhindwa kuvukaVolkswagen wapo vizuri kwenye gear box zao za DSG TRANSMISSION angalia gari kama GTI inavyochanganya mapema ni balaa la hatari..
Gear zinaingia Kwa namba 2-4-6 huku clutch plate nyingine imezuia gear namba 1-3-5 yaani ni kama vile gari inatumia gear box mbili kwenye gari moja.. hapa ndipo mjapan anapigwa MAKOFI barabarani na mjerumani ni kama vile BMW kwenye upande wa engine zenye nguvu hawa ndiyo wataalamu
Hii chuma ya jamaa anaitwa mo bright future
Anapenda san crown jamaa,yupo instagram
Uliagiza kwa bei gani?Hii yangu bado mpya
Nmeagiza mwenyewe mwaka huu
So nmefanya service castrol oil ,oil filter,air filter vyote og nmebadili oxygen sensor 1. So chuma iko poaa
Nazani kitu kinachoongeza ulaji wa mafuta
Ni poor services
Mfano jamaa angu ana crown kaweka plug za efu 15
Wakati plug OG zinaanzia efu40 @,oilfilter ya efu10[emoji2]
Gari lazima itakula mafuta tu,weka vitu og
Umesema kweli kila mtu na interest yake.Mfano mm nikisia sijui Crown sijui mark x hata sisimki kama nikisia corola x.Zote ni za generation moja na ni the same engine ..
Uzito zimepishana kidogo ..crown imezidi kidogo this allows it to be more comfortable and stability ipo poa zaidi..all in all kila mtu ana personal interest zake ila muonekano wa crown ni far much better than mark x