Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,004
- 3,695
Ndio umakini unatakiwa! Ila hata kama HUKUBALI fact iko hivyo, germany made na japanese ni kifo na usingizi ie havifanani kwa ubora! Itabaki hivyo.Mi Naona Hapa cha Kuzingatia Ni Umakikini tu, Hizi Ishu Sijui Mjerumani, Sijui Muingereza ni Story za Vijiweni tu, Huyo Mjapan Mwenyewe kummiliki Jasho la Meno linakutoka ( Hapa Sizungumzii wale Famila Bora na Waendesha Magari Ya Shemeji )
Rrondo kwa barabara hii mtu unaweza jaribu kufuta dashboard but sio za bongo ambazo unapita baada ya saa ukipita tena ina zinga la shimo ilhal wewe unajua bado ipo poa halafu vibarabara vyetu ka vichochoro lane moja inapitisha mpaka gari 3Audi
Lakini si mlifika salama..[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]Tabu iko pale pale, nina shemeji yangu anachezaga rally, yeye ni msoma ramani ila fujo za gari zinaishiaga mjini tu. Akiwa safari unaweza sema mlemavu [emoji23][emoji23][emoji23] hasa akiwa kabeba watoto. Speed haivuki themanini.
Siku nasafiri nae tulianza safari saa 8 mchana mpaka saa 6 usiku hio ni Moshi-Dar na hapo tumekula boda ya Msata Bagamoyo.
Eah tulifika poaLakini si mlifika salama..[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
kabala sijawa na familia nilikuwa na tabia ya kuendesha high way si chini ya 120 kph....Tabu iko pale pale, nina shemeji yangu anachezaga rally, yeye ni msoma ramani ila fujo za gari zinaishiaga mjini tu. Akiwa safari unaweza sema mlemavu [emoji23][emoji23][emoji23] hasa akiwa kabeba watoto. Speed haivuki themanini.
Siku nasafiri nae tulianza safari saa 8 mchana mpaka saa 6 usiku hio ni Moshi-Dar na hapo tumekula boda ya Msata Bagamoyo.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji108][emoji123]Ndio umakini unatakiwa! Ila hata kama HUKUBALI fact iko hivyo, germany made na japanese ni kifo na usingizi ie havifanani kwa ubora! Itabaki hivyo.
Na kuepuka ajali ni combination ya mambo mengi..ubora wa gari, unaendeshaje, miundo mbinu etc.
Hilo halihitaji akili nyingi.
Mshanajr
Me ningekushauri ishi maisha yako mwenyewe... LIVE YOUR OWN LIFE...ukiangalia mashabiki wanasemaje juu yako nakuhakikishia kuna siku utauza gari ununue matairi...kisa mashabiki wamesema matairi ni kipara..Shida ya online inachukua muda kidogo kufika na mimi kwa tabia yangu siwezi kukaa na gari mwezi imepaki roho inauma kama Nina mgonjwa vile ,halafu mashabiki nao wanakulegeza wanakwambia tulisema hii gari utaipaki tuuu
Pole pole ndiyo mwendo.[emoji16][emoji16][emoji16]Y
Eah tulifika poa
Sawa. Ila ajali ni ajali.Lakini ni body mbili tofauti kabisa... Gari za ulaya usalama umezingatiwa mno hasa kwenye body
Sometimes ushauri na maneno ya watu ni ya kuzingatia unaweza dhani unajua kila kitu kumbe bwege tu ,nimejifunza vitu Vingi kupitia watu ,wewe endelea kuishi maisha yako mi naishi na watu japo ushauri umezingatiwaMe ningekushauri ishi maisha yako mwenyewe... LIVE YOUR OWN LIFE...ukiangalia mashabiki wanasemaje juu yako nakuhakikishia kuna siku utauza gari ununue matairi...kisa mashabiki wamesema matairi ni kipara..
Kuna baadhi ya speare zinaenda kwa kilometres ndiyo ubadili...ukiona kilometres zimekaribia unaagiza na kinafika kwa muda muafaka...usisubiri mpaka kife kabisa...labda kiharibike kwa ghafla sana
Nimewahi kufanya hivi kwenye kanissan kangu.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]mbona kama jazba imehusika hapaSometimes ushauri na maneno ya watu ni ya kuzingatia unaweza dhani unajua kila kitu kumbe bwege tu ,nimejifunza vitu Vingi kupitia watu ,wewe endelea kuishi maisha yako mi naishi na watu japo ushauri umezingatiwa
ni kweli Mkuu, mm km nimebeba familia mwisho 100 km/h nikiwa mwenyewe mwisho 140 km/h lkn godoro na ushuzi kwani nasikilizia ni tairi ipi italia paaa!! simalizi kilomita 2km narudi 110Pole pole ndiyo mwendo.[emoji16][emoji16][emoji16]
haya maspeed yameshapeleka vija wengi sana kaburini
Nilishawahi kutembea 210 na BMW lakini nimeapa sitakaa niende mwendokasi kama ule tena....ni kweli Mkuu, mm km nimebeba familia mwisho 100 km/h nikiwa mwenyewe mwisho 140 km/h lkn godoro na ushuzi kwani nasikilizia ni tairi ipi italia paaa!! simalizi kilomita 2km narudi 110
View attachment 1107421
Huyo jamaa yy anamaanisha atafika muda huko kwa mwenso kibati ndo maana kila mtu anamshangaa yaani atamaliza kisahanikwa huo muda ambao umetoka sidhani kama utafanikisha kufika saa kumi tunduma, haiwezekani.
ungetoka saa nane usiku chief.
labda kama barabarani wangeondoa gari zote abaki peke yake la sivyo hata awe na mwendo kibati kiasi gani asingeweza kufika tunduma saa kumi.Huyo jamaa yy anamaanisha atafika muda huko kwa mwenso kibati ndo maana kila mtu anamshangaa yaani atamaliza kisahani
labda kama barabarani wangeondoa gari zote abaki peke yake la sivyo hata awe na mwendo kibati kiasi gani asingeweza kufika tunduma saa kumi.