RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Kasome tenaKuna uzi ulikuwa unawahamasisha wajaribu kumaliza sahani mjini mida ya usiku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasome tenaKuna uzi ulikuwa unawahamasisha wajaribu kumaliza sahani mjini mida ya usiku.
R.I.P in advance!Ajali ya mtu mwingine haiwezi kunifanya niongope kukanyaga mafuta..... Kesho asubuhi na safari ya Mbeya+Tunduma nikitoka Dar saa kumi na mbili asubuhi nataka saa kumi niwe Tunduma.... Nimesha andaa na hela ya faini kabisa ya matrafiki
Safari njema mkuu.Ajali ya mtu mwingine haiwezi kunifanya niongope kukanyaga mafuta..... Kesho asubuhi na safari ya Mbeya+Tunduma nikitoka Dar saa kumi na mbili asubuhi nataka saa kumi niwe Tunduma.... Nimesha andaa na hela ya faini kabisa ya matrafiki
sasa mkuu kama tunawapa tahadhari na kwa mifano hai ya kutisha bado wanaahidi kuserereka, si heri waende na RIP ya kishika uchumba kuliko kuituma akiwa ameshasinzia!
Tatizo wanafikiri wao ndio wanaokimbia kumbe ni gari linalokimbia na linaloanguka ni gari na wao ni wahanga wa gari kuanguka!sasa mkuu kama tunawapa tahadhari na kwa mifano hai ya kutisha bado wanaahidi kuserereka, si heri waende na RIP ya kishika uchumba kuliko kuituma akiwa ameshasinzia!
Ajali ya mtu mwingine haiwezi kunifanya niongope kukanyaga mafuta..... Kesho asubuhi na safari ya Mbeya+Tunduma nikitoka Dar saa kumi na mbili asubuhi nataka saa kumi niwe Tunduma.... Nimesha andaa na hela ya faini kabisa ya matrafiki
Nyingi zilikuja bila kufanyiwa Inspection Japan, watu wengi walikuwa wana kwepa kulipia USD 350 badala yake hapa wanatoa laki moja mpaka Laki na nusu.Ziliuwa sana nazo hizi gari
Hatutaki usumbuf wa mambo ya jeneza andaa mwenyeweAjali ya mtu mwingine haiwezi kunifanya niongope kukanyaga mafuta..... Kesho asubuhi na safari ya Mbeya+Tunduma nikitoka Dar saa kumi na mbili asubuhi nataka saa kumi niwe Tunduma.... Nimesha andaa na hela ya faini kabisa ya matrafiki
[emoji26][emoji26]ukisema ujitembelee zako kwa miguu tuu kuepuka hayo,bado mjapani anaweza akaacha njia akakufuata hukohuko uliko...
Je kama alisinzia?Huyu kafatwa site take! Kuangusha au kuserereka hii gari ni ngumu kdg ina control kubwa sana hii gari! Data RIP dogo hujala maisha kbs!
.Toyota za Kimarekani mwisho wa kazi speed 220 na hata ugonge jiwe itachubuka tu na kimkunjo kidogo..... hizi gari za mchina inagonga boda Boda inakanika vipande viwiliView attachment 1106081
[emoji26][emoji26]ukisema ujitembelee zako kwa miguu tuu kuepuka hayo,bado mjapani anaweza akaacha njia akakufuata hukohuko uliko...