View attachment 1637809
Niwapo barabarani baada ya kuhakiki usalama wa nnapopita na nnakoelekea, ndani ya chombo changu ni mimi na mziki.
Hulka yangu na huyo dada ni asilimia 500. Hivyo wanaoniovateki hawanisumbui hata.
K Matata.
Kasie mapenzi....
Naomba jina la hii nyimbo iliyokuwa inapigwa hapo tafadhali
Mbona kama iko chini sana, kwa barabara zetu zenye mashimo na matuta itatoboa kweli?
pata idea kidogo hapa
For your own safety hizo ligi za barabarani achana nazo kabisa .hata Kama una kifaa cha uhakikaNimefika salama, lakini ligi za barabarani zimenishinda kabisa
Levin iwe manual 5 gear ni balaaTafuta Toyota Levin hutajilaumu
Spencer zipo mkuu wala usijaliMbona kama iko chini sana, kwa barabara zetu zenye mashimo na matuta itatoboa kweli?
Na wasiwasi iyo ist itakuwa mbovuWiki iliyopita niliamsha IST yangu kwenda Kahama, safari ilikuwa tamu, japo nimeumia sana kuona napitwa njiani kama vile nimesimama, japokuwa nilikuwa nakanyaga mafuta mpaka mwisho! Nimeumia sana! Siitumii tena nimeapa
Passo ndo hmna gari hapo ase, hazina nguv kbsa hizoMm huwa nasafiri na passo kaka dar mwanzz nagonga hadi 140 inaenda vizuri tu labda kwenye milima huwa wananionya kishenzi tena ikiwa level seat
View attachment 1637809
Niwapo barabarani baada ya kuhakiki usalama wa nnapopita na nnakoelekea, ndani ya chombo changu ni mimi na mziki.
Hulka yangu na huyo dada ni asilimia 500. Hivyo wanaoniovateki hawanisumbui hata.
K Matata.
Naomba unitumie hii shideho inbobo
Bora tu ungeenda na bajajiWiki iliyopita niliamsha IST yangu kwenda Kahama, safari ilikuwa tamu, japo nimeumia sana kuona napitwa njiani kama vile nimesimama, japokuwa nilikuwa nakanyaga mafuta mpaka mwisho! Nimeumia sana! Siitumii tena nimeapa
Hiyo mkuu haifai kwendea shamba...ni mashine ya mambioMbona kama iko chini sana, kwa barabara zetu zenye mashimo na matuta itatoboa kweli?
Ukirudi nayo niuzieWiki iliyopita niliamsha IST yangu kwenda Kahama, safari ilikuwa tamu, japo nimeumia sana kuona napitwa njiani kama vile nimesimama, japokuwa nilikuwa nakanyaga mafuta mpaka mwisho!
Nimeumia sana! Siitumii tena nimeapa