feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Duh HP 1100 mzee baba hiyo gari itakua na speed ngapi mkuu
ile EVO 6 iko moded stage 3 moto wake sio wa mchezo,hio GT-R ikiwa stock(480hp-545hp) inaachiwa manyoya tu.
Kuna EVO 6 niliiona kwa madiba ina HP 1100 nadhani moto wake hapo unauelewa mzee baba.