Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
JK Anasema Chuma HichoAngalia profile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JK Anasema Chuma HichoAngalia profile
Torque ni muhimu kwa wachukuzi , kwenye magari madogo kwa ajili ya speed , horsepower ni muhimuHivi kwa nini watu wakiwa wanatoa sifa za gari huwa wanapenda kuzungumzia zaidi horsepower badala ya Torque?
😁😀😂😃🍷🍸🍹Gari makini sana....
upate hii ya rangi nyeusi...
hv mpaka kuitia mkononi sijui bei gani!?
Ila kweli unajua torque ndio mchawi wa nguvu ya nguvu ya gari.....Hivi kwa nini watu wakiwa wanatoa sifa za gari huwa wanapenda kuzungumzia zaidi horsepower badala ya Torque?
Hiki ni kinu cha nyuklia hebu unapojadili magari makali hii usiingize katika mjadala sababu inahitaji mjadala wa pekee yake....Kwahiyo hii ni takataka tu kwa hilo dude!?View attachment 1773739
Hapana hii gari ni ngumu na ina nguvu sana tu. Labda kama hauifahamu vema baba..... Kumbuka kampuni ni benz babu...Hii ni trip 1 field trip inayofuata ni garage.
Hii Sio serious off-roader,ni kwa ajili ya mastaa na matajiri kui-display kwny garage zao,wanamuziki ku-shoot video za nyimbo zao na kwenda nazo kwny red carpet.
Ngumu kwny nini?Hapana hii gari ni ngumu na ina nguvu sana tu. Labda kama hauifahamu vema baba..... Kumbuka kampuni ni benz babu...
Tena kwenye barabara zetu hizi za Afrika pamoja na mazingira yetu haya torque ni muhimu kuliko horsepower.Ila kweli unajua torque ndio mchawi wa nguvu ya nguvu ya gari.....
Kwenye magari madogo torque ni muhimu kuliko horsepower katika mazingira yetu na katika barabara zetu za Afrika kwa sababu barabara zetu nyingi zinahitaji gari zenye nguvu kubwa na ground clearance kubwa pia.Torque ni muhimu kwa wachukuzi , kwenye magari madogo kwa ajili ya speed , horsepower ni muhimu
Hata mm nimeliona hili.....mikato na mikunjo ya nissanHapo mwenye design mzee tumepigwa...yani ni copy and paste ya nissan V8
Mzee lc. 300 series wamezingua kwenye body appearance, hasa kwa mbele. Yani iko kama box,
Horsepower ni Marketing term sawa sawa na ile 0-60 miles sprint!Tena kwenye barabara zetu hizi za Afrika pamoja na mazingira yetu haya torque ni muhimu kuliko horsepower.
Mbele ni tamu mbona nyuma ndio ilikuwa kipengele ila kwenye real life pictures iko makini
Yeah mwanzo guess work zilikuwa nyingi ila sasa final prototype ndio hio imefanyiwa reality! Iko freshi sana tofaut na zile picha nilizoona awali nikajua wameharibu maana nyuma ilikuwa inonekana kama Nissan Mpya ileKali sana, sioni shida kwenye design. In real inaweza kupendeza zaidi