That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,215
- 3,678
Mkuu andaa 250M +Kaka tunashitua UNYONGE (ita umasikini) sometimes 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣. Kwani aliwazo mtu ndilo linalomtokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu andaa 250M +Kaka tunashitua UNYONGE (ita umasikini) sometimes 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣. Kwani aliwazo mtu ndilo linalomtokea
Ina maana hii ni bei rahisi kuliko ile ya DED wa Geita? (400m)Mkuu andaa 250M +
Land Cruiser napishana nazo tu barabarani mzee au nikiziona parking kwenye ma-shopping mall huwa nachungulia kwa mbali nijiridhishe kama kile nachokiona YouTube na Google kipo sawaHujawahi kupanda land cruiser mzee baba?
Mie 70, 80,100 series nimezikwea ila 200 series bado nakula kwa macho! Naomba uzima japo niionje hio 300 series
Najua LC ni offroader.Wow feautures za nini wakati gari inatakiwa ikakate maji kama Mamba! Its an offroader! The real ass offroder i hope wameweka symmetrical all-wheel drive ya subaru!
Kipya kinapatikana wapi?Najua LC ni offroader.
Hawana kipya.
Ambacho LC wameweka wengine walishaweka 5 yrs back.Kipya kinapatikana wapi?
Unalinganisha LC vs hizo gari ambazo sasa model za biashara zimekua ni za 'leasing for 3 years' na sio kuuza magari tena.Ambacho LC wameweka wengine walishaweka 5 yrs back.
Sawa na Apple fan boys.
Wapi huko ni leasing for 3 yrs?Unalinganisha LC vs hizo gari ambazo sasa model za biashara zimekua ni za 'leasing for 3 years' na sio kuuza magari tena.
Dunia gani hio?Wapi huko ni leasing for 3 yrs?
Zipo duniani na zinapiga kazi.
ile ilikuwa ni VX R , full option, which ticks all the boxesIna maana hii ni bei rahisi kuliko ile ya DED wa Geita? (400m)
Wow feautures za nini wakati gari inatakiwa ikakate maji kama Mamba! Its an offroader! The real ass offroder i hope wameweka symmetrical all-wheel drive ya subaru!
Hapo atakayejitahidi kumfuata LC kwa reliability labda ni Nissan Patrol ila hizo takataka nyingine kama Range rover na nyinginezo hakuna kitu hapo.Exactly. Ina acceptable level ya comfortability na bado inaweza kufanya kazi chafu. Again kama ilivyo Toyota nyingi, sifa yake siyo kuwa na magari yenye ‘bells and whistles’ ila reliability ndo kikubwa kwao. Hii pia ni sababu kubwa ya gari zao hasa LC kuuzwa bei ghali ukilinganisha na extra features au design ambazo magari kama Landrover yanakuwa nazo. Nitasubiri kusikia gari ambazo ni reliable kama LC katika segment yake.
Ila ajabu ina hp kubwa kuliko V8Hapana hii ya sasa ni 3.3L V6
Hiyo ni turbo tu mzee.Eeh wamei tune vizuri
they say Horse power sells you a car while torque wins you a raceHorsepower ni Marketing term sawa sawa na ile 0-60 miles sprint!
Yani gari yenye horsepower kubwa inawahi zaidi ku peak 60 miles per hour! Kwahio wateja wengi wako obsessed na hio kitu sikuhizi! Gari ikiwa na less than 5 seconds its termed fast na hata horsepower zake zitakuwa juu! Ila ikiwa more than 5 seconds inaonekana slow sana!