Toyota Premio inakimbia kuliko X- Trail new Model

Toyota Premio inakimbia kuliko X- Trail new Model

Unakimbia kwa ajili gani?Mambo ya ligi za barabarani?Utasikia sijui "leo nimetumia Subaru yangu kuikimbiza prado hadi imesalim amri!"Huu kama siyo utoto ni nini?
Nani alikwambia anafanya ligi? Mambo niliyoyafanya nikiwa na miaka 20 huko.

Wewe na uzee wako safety feature ipi unaipata kwa Premio au Crown?

Kwamba unataka kununua gari ya milioni 15 uumize kichwa kuhusu safety feature.

Nunua gari ya 150M na kuendelea utazipata hizo features bila kuuliza kwa mtu.

Ila hizo IST zenu hakuna kitu.
 
Jamaa yangu huyu alikuwa na Nissain Xtrail ile new model. Akanunua na Toyota Premio kwa ajili ya Mkewe. Anasema kwa Uzoefu wake baada ga kuzitumia zote kwa safari ndefu amegundua Toyotw Premio (model ya kati ) inakimbia zaidi kuliko Nissan Xtrail.

Nlijiuliza IS IT POSSIBLE? on what basis? Akasisitiza Premio imetulia zaidi pia kuliko Xtrail ukiwa mwendo mkali barabarani.

Je, kama ni kweli nini kinaweza kuwa sababu?
zote zinakimbia , inategemea dreva anazitumiaje. ingawaje premio iko more stable kuliko trail
 
Bado hujakua. Ukijua utagundua kila anayenunua gari kuna vitu anahitaji. Habari za mafundi na spares hivyo ni vitu ambavyo wengine si big deal. Anaona gari anauliza lina speed kiasi gani?from 0-100 inatumia sekunde au dk ngapi then anaamua. Ni utoto kudhani unachotaka wewe kwenye gari ndicho anachotaka na Ali. Ukikua utagundua priorities differ.

If i want a car i consider somethings kulingana na matumizi yangu. Ukifikia hatua ukakua ukapata gari au ukayafaham magari utakutana na watu kabla hajanunua gari anauliza lina HP ngapi au Engine yake ni size gani? Au lina turbo? Ndo wenye ulewa walivyo mwingine anataka lenye CC chache mwingine anataka lenye CC nyingi. Kama mademu. Mwingine anataka mwenye mzigo mwingine namba 1. Sasa wewe subiri ukue halafu uje uwe na uwezo wa kununua gari. Then njoo nikuelekeze.
Uko sahihi mkuu kama Mimi sahivi naipenda vitz rs hata unipe Subaru siwezi chukua
 
Juzi-kati nimetoka DAR saa 7 usiku na nimeingia Dodoma saa 1 asubuh na Toyota rumion nakumbuka kipande cha kutoka Dodoma kuitafuta singida nimewapa adabu na adhabu madereva wa IST,raum,wish,rush na spacio....
Aisee kama Kwenye suala la balance basi rumion iko vizuri Sana hii ndinga ni balaa nilikuwa naenda Hadi speed 170 km/h na gari iko stable.

Nissan X trail nimefukuzana nayo kipande cha shelui kuitafuta nzega hii gari ni ya kawaida Sana njiani mara nyingi jamaa alikuwa ananipita Kwenye vibao vya 50
Hizi Ruminion naziona nyingi kweli cku hizi ubora wake katika nyanja mbalimbali ukoje?
 
Haya mambo ya sijui gari fulani inakimbia sana ni utoto wa chekechea na darasa la kwanza!Nilipokuwa chekechea ndiyo umri pekee ambao nilikuwa nashobokea gari kukimbia sana.Ukimuona mtu mzima anashobokea magari kukimbia jua huyo ni punguani.Mtu mzima unapaswa uzungumzia mambo ya features za usalama,comfortability,durability ya gari,fuel economy,upatikanaji wa mafundi wa kisasa na kadhalika.
Mimi ni punguani namba moja. Gari isio na mwendo wa kueleweka siitaki.
 
Haya mambo ya sijui gari fulani inakimbia sana ni utoto wa chekechea na darasa la kwanza!Nilipokuwa chekechea ndiyo umri pekee ambao nilikuwa nashobokea gari kukimbia sana.Ukimuona mtu mzima anashobokea magari kukimbia jua huyo ni punguani.Mtu mzima unapaswa uzungumzia mambo ya features za usalama,comfortability,durability ya gari,fuel economy,upatikanaji wa mafundi wa kisasa na kadhalika.
Ni sawa unachosema, ila ni sawa tu na misambwanda, kuna mwingine haangalii sura, rangi kimo au lah! Anachoangalia ni "msambwanda" ni wa haja? Akikuta ni wa haja vingine kawaida.

Inabidi tu, ibaki kuheshimu choice za wengine.

Au wajumbe mnasemaje?
 
Ni sawa unachosema, ila ni sawa tu na misambwanda, kuna mwingine haangalii sura, rangi kimo au lah! Anachoangalia ni "msambwanda" ni wa haja? Akikuta ni wa haja vingine kawaida.

Inabidi tu, ibaki kuheshimu choice za wengine.

Au wajumbe mnasemaje?
Choice za wengine zinazoumiza maisha ya wengine zinapaswa kulaaniwa na kukemewa!Utasikia sijui "Leo nimetumia Subaru yangu kuikimbiza Prado hadi imesalim amri!",hii ni choice inayoumiza wengine kwa sababu kuanzisha ligi barabarani inaweza kusababishia wengine ajali ikapelekea vifo au vilema kwa watu ambao hawana hatia!
 
X trail si gari la mbio kabisa

Nashangaa mpaka mtoa mada umeleta mada humu nini cha ajabu

Kwani umeshawahi kuona motorsport yoyote majamaa wana hit the apex na ma suv???
 
Unajua mnapozungumzia Toyota Premio hizi za kati mnaongelea engine aina aina 4 tofauti kuna ambayo ina engine kama ya vitz au IST 1NZ ina cc 1490, kuna 1ZZ engine kama ya Opa au Spacio, 2ZR ambayp pia ni cc 1790 kama 1ZZ, halafu kuna 1AZ ina cc 1990 kama ya RAV4 au VOXY.

Sasa Model ambayo ina nguvu na kukimbia sana kama karatasi ni 1AZ mkuu, sio kila model hiyo itakua inakimbia mzee baba
 
Juzi-kati nimetoka DAR saa 7 usiku na nimeingia Dodoma saa 1 asubuh na Toyota rumion nakumbuka kipande cha kutoka Dodoma kuitafuta singida nimewapa adabu na adhabu madereva wa IST,raum,wish,rush na spacio....
Aisee kama Kwenye suala la balance basi rumion iko vizuri Sana hii ndinga ni balaa nilikuwa naenda Hadi speed 170 km/h na gari iko stable.

Nissan X trail nimefukuzana nayo kipande cha shelui kuitafuta nzega hii gari ni ya kawaida Sana njiani mara nyingi jamaa alikuwa ananipita Kwenye vibao vya 50

Rumion ipo vizuri sana..nimefkuzana na premio haziwezi mziki wa rumion
 
Unajua mnapozungumzia Toyota Premio hizi za kati mnaongelea engine aina aina 4 tofauti kuna ambayo ina engine kama ya vitz au IST 1NZ ina cc 1490, kuna 1ZZ engine kama ya Opa au Spacio, 2ZR ambayp pia ni cc 1790 kama 1ZZ, halafu kuna 1AZ ina cc 1990 kama ya RAV4 au VOXY.

Sasa Model ambayo ina nguvu na kukimbia sana kama karatasi ni 1AZ mkuu, sio kila model hiyo itakua inakimbia mzee baba

Kitu kimoja unachokosea ni kua engine ya 1Nz ya gari ya mwaka 2001 haiwezi kua na performance sawa na engine ya 1Nz ya gari ya mwaka 2008..unaweka wapi suala la technology pembeni?

Sbr nikutofautishie kati ya engine ya 1Nz ya premio ya IST na Engine ya Rumion..

Specs za ndani ya engine ni tofauti..rumion Gearbox yake ina mfumo wa CVT ambao ni tofauti na ist..engine ya ist au premio ya mwaka 2003 haiwezi push rumion..rumion engine yake ipo moded na ipo manufactured since 2007..

Ndio maana kuna series za engine ya 1nz

1Nz -FXE
1Nz -FE

Na katika hizo apo kuna sub type kama moja moja kwa kila moja ambavyo vinapishana vitu kama cooling system na vingine vingi ndani ya boxes..ingawa zote ni Cc 1489...
 
Kitu kimoja unachokosea ni kua engine ya 1Nz ya gari ya mwaka 2001 haiwezi kua na performance sawa na engine ya 1Nz ya gari ya mwaka 2008..unaweka wapi suala la technology pembeni?

Sbr nikutofautishie kati ya engine ya 1Nz ya premio ya IST na Engine ya Rumion..

Specs za ndani ya engine ni tofauti..rumion Gearbox yake ina mfumo wa CVT ambao ni tofauti na ist..engine ya ist au premio ya mwaka 2003 haiwezi push rumion..rumion engine yake ipo moded na ipo manufactured since 2007..

Ndio maana kuna series za engine ya 1nz

1Nz -FXE
1Nz -FE

Na katika hizo apo kuna sub type kama moja moja kwa kila moja ambavyo vinapishana vitu kama cooling system na vingine vingi ndani ya boxes..ingawa zote ni Cc 1489...
Mkuu NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK unataka kufanya mada iwe ngumu sana hizo CVT au VVTi ni mada tofauti kabisa, Premio zimeanza kutumia 1NZ FE toka 2002 sasa hayo mambo ya miaka yanatoka wapi? why unanze ku complicate mambo mkuu. Naomba usianzishe mjadala usio na umuhimu nakuelewa unachomaanisha na ninaelewa unachoongea ila umeamua uonekane unajua jambo, Ukitaka tuzidishe nitakyuamisha hado kwenye torque
 
Bado hujakua. Ukijua utagundua kila anayenunua gari kuna vitu anahitaji. Habari za mafundi na spares hivyo ni vitu ambavyo wengine si big deal. Anaona gari anauliza lina speed kiasi gani?from 0-100 inatumia sekunde au dk ngapi then anaamua. Ni utoto kudhani unachotaka wewe kwenye gari ndicho anachotaka na Ali. Ukikua utagundua priorities differ.

If i want a car i consider somethings kulingana na matumizi yangu. Ukifikia hatua ukakua ukapata gari au ukayafaham magari utakutana na watu kabla hajanunua gari anauliza lina HP ngapi au Engine yake ni size gani? Au lina turbo? Ndo wenye ulewa walivyo mwingine anataka lenye CC chache mwingine anataka lenye CC nyingi. Kama mademu. Mwingine anataka mwenye mzigo mwingine namba 1. Sasa wewe subiri ukue halafu uje uwe na uwezo wa kununua gari. Then njoo nikuelekeze.
Hizo mbio utakimbilia wapi kwenye hizi barabara zinazochimbwa na wachina kutengeneza mabomba almost kila sehemu?
 
Back
Top Bottom