Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,828
Hio premio ina CC ngapi? 1490, 1790 au 1990? Na hio rumion ina CC ngapi?Rumion ipo vizuri sana..nimefkuzana na premio haziwezi mziki wa rumion
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio premio ina CC ngapi? 1490, 1790 au 1990? Na hio rumion ina CC ngapi?Rumion ipo vizuri sana..nimefkuzana na premio haziwezi mziki wa rumion
You are very right mzee,Choice za wengine zinazoumiza maisha ya wengine zinapaswa kulaaniwa na kukemewa!Utasikia sijui "Leo nimetumia Subaru yangu kuikimbiza Prado hadi imesalim amri!",hii ni choice inayoumiza wengine kwa sababu kuanzisha ligi barabarani inaweza kusababishia wengine ajali ikapelekea vifo au vilema kwa watu ambao hawana hatia!
Kuchakata misambwanda kivipi mkuu?You are very right mzee,
Lakini siunajua pia, hata ile league ya kuchakata misambwanda hua zinaumiza maisha ya wengine pia?
[emoji41]Ni kweli,,, mfano wake ni mtu mrefu mkimbiaji ngongoti na mtu wan size ya Kati mkimbiaj wakianza kukimbia yule ngongoti atashindwa na yule wa kati.[emoji16][emoji16]
Mashine ya ukwel hiyo mkuu
Usingeitaja IST ningeshangaa sana[emoji16][emoji16]
Ukisafiri Safari ndefu ndiyo utajua gari isiyokuwa na mwendo ni adhabuMimi ni punguani namba moja. Gari isio na mwendo wa kueleweka siitaki.
Speed 150 - 170 km/hNakubali mzee baba[emoji16]
Yaani Tuisila Kisinda anapitwa na Miqueson?Ni kweli,,, mfano wake ni mtu mrefu mkimbiaji ngongoti na mtu wan size ya Kati mkimbiaj wakianza kukimbia yule ngongoti atashindwa na yule wa kati.[emoji16][emoji16]
Mdogo wangu pureView Zeiss mwendo huo na jinsi ulivyoshika steering wheel unaonesha hujaiva. Nikushauri tu ukiwa mwendo mkubwa shika usukani saa tatu kasorobo au saa tatu na robo.
NB: Angalia mishale ya saa katika muda huo inakaaje ndio mikono yako ikae hivyo.
Very important. Mkono kushoto hapo alipouweka sipoMdogo wangu pureView Zeiss mwendo huo na jinsi ulivyoshika steering wheel unaonesha hujaiva. Nikushauri tu ukiwa mwendo mkubwa shika usukani saa tatu kasorobo au saa tatu na robo.
NB: Angalia mishale ya saa katika muda huo inakaaje ndio mikono yako ikae hivyo.
Labda wewe ila mimi mpaka nanunua gari nakuwa nishajipangaHuwezi chukua sababu mafuta yatakutoa kamasi...
Mi nashika saa 9 kamili au saa 6 na robo.Mdogo wangu pureView Zeiss mwendo huo na jinsi ulivyoshika steering wheel unaonesha hujaiva. Nikushauri tu ukiwa mwendo mkubwa shika usukani saa tatu kasorobo au saa tatu na robo.
NB: Angalia mishale ya saa katika muda huo inakaaje ndio mikono yako ikae hivyo.
Hio premio ina CC ngapi? 1490, 1790 au 1990? Na hio rumion ina CC ngapi?
Hapo mkono ulipo rahisi sana yeye mwenye kujitupa likitoa la ghafla bin vuuu.. anajiingiza kingi vizuri. Ma barabarani yenyewe haya yalivyo na migongoMdogo wangu pureView Zeiss mwendo huo na jinsi ulivyoshika steering wheel unaonesha hujaiva. Nikushauri tu ukiwa mwendo mkubwa shika usukani saa tatu kasorobo au saa tatu na robo.
NB: Angalia mishale ya saa katika muda huo inakaaje ndio mikono yako ikae hivyo.
Pozi kwenye hiyo speed ? Una hatari wewe 😀😀😀Ulikuwa pozi Tu Kwaajili ya picha Mkuu Ila ushauri wako naupokea
Mkuu NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK unataka kufanya mada iwe ngumu sana hizo CVT au VVTi ni mada tofauti kabisa, Premio zimeanza kutumia 1NZ FE toka 2002 sasa hayo mambo ya miaka yanatoka wapi? why unanze ku complicate mambo mkuu. Naomba usianzishe mjadala usio na umuhimu nakuelewa unachomaanisha na ninaelewa unachoongea ila umeamua uonekane unajua jambo, Ukitaka tuzidishe nitakyuamisha hado kwenye torque
Umemuelewa mto mada ameongelea premio ya kipindi gani lakini? au unaleta ujuaji usio na maana, hicho unachokiongelea hakina maana hata kidogo na akikidhi criteria ya mtoa mada ameshasema premio hizi model za kati. Wewe hiyo ya 2017 umeowaona nao vijana gani wanazurula nazo hapa mjini? Sioni hata unachobisha na uwezi kunifundisha mie Engine Systems na zinavyofanya kazi kwa taarifa yako, ukitaka tujadili hili fungua uzi wako wa Engine Varieties na tutachangia na kukubomoa huko huko.Ivi unajua kua adi premio ya mwaka 2017 inatumia engine ya 1Nz..unategemea tecnologia ya Nz ya deplacement ya premio ya kwaka 2003 na replacement ya engine ya premio mwaka 2017 ni sawa..wacha kuchekesha.