Mtu-Pori
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 1,296
- 1,468
Premio new model ina option ya 2ZR (1800cc).Rumion kuna selection ya engine mbili..1Nz na 2zr..cc 1489 na cc 1790 respectively... premio ina selection ya engine tatu..1zz,1Nz na 1Az..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Premio new model ina option ya 2ZR (1800cc).Rumion kuna selection ya engine mbili..1Nz na 2zr..cc 1489 na cc 1790 respectively... premio ina selection ya engine tatu..1zz,1Nz na 1Az..
Huu ni mwaka wa 12 naendesha gari Mkuu na Safar ndefu nimefanya nyingi Sana...Pozi kwenye hiyo speed ? Una hatari wewe 😀😀😀
Njoo nkuuzie XTRAIL YANGU inakimbia kuliko zote hizo njoo ukagueJamaa yangu huyu alikuwa na Nissain Xtrail ile new model. Akanunua na Toyota Premio kwa ajili ya Mkewe. Anasema kwa Uzoefu wake baada ga kuzitumia zote kwa safari ndefu amegundua Toyotw Premio (model ya kati ) inakimbia zaidi kuliko Nissan Xtrail.
Nlijiuliza IS IT POSSIBLE? on what basis? Akasisitiza Premio imetulia zaidi pia kuliko Xtrail ukiwa mwendo mkali barabarani.
Je, kama ni kweli nini kinaweza kuwa sababu?
Kwani disco 3 hua zinakimbia?Crown ni tamu .. zinashikisha adabu gari nyingi sana.. nisha mchezesha mtu mwenye Discovery 3, ila nahisi hakuwa dereva mzuri,
Nadhani hili wazo la uzi special kwa ajili ya engines ni wazo zuri mnoo tutajifunza mengi saana.. im interested. Fanya kuufungua BiohazardUmemuelewa mto mada ameongelea premio ya kipindi gani lakini? au unaleta ujuaji usio na maana, hicho unachokiongelea hakina maana hata kidogo na akikidhi criteria ya mtoa mada ameshasema premio hizi model za kati. Wewe hiyo ya 2017 umeowaona nao vijana gani wanazurula nazo hapa mjini? Sioni hata unachobisha na uwezi kunifundisha mie Engine Systems na zinavyofanya kazi kwa taarifa yako, ukitaka tujadili hili fungua uzi wako wa Engine Varieties na tutachangia na kukubomoa huko huko.
Am in.Nadhani hili wazo la uzi special kwa ajili ya engines ni wazo zuri mnoo tutajifunza mengi saana.. im interested. Fanya kuufungua Biohazard
Huna tofauti na huyo niliempa ushauri. Heri yako.Mi nashika saa 9 kamili au saa 6 na robo.
Sasa hauwezi fananisha ulaji wa mafuta wa subaru na hio vitz rs...Labda wewe ila mimi mpaka nanunua gari nakuwa nishajipanga
😂😂😂😂Huna tofauti na huyo niliempa ushauri. Heri yako.
9 and 3 ndio position salama😂😂😂😂
Nakubali kwa 100% mkuu,hata 10 2 position naona nayo ishakataliwa na wataalam.9 and 3 ndio position salama
Uki assume steering wheel ni saa basi mikono iwe katika namba 3 na 9 hasa ukiwa highway. ILA kama uko mtaani kwenu unaweza hata usishike steering.
Na mimi sikukwambia tatizo ni mafuta mi naipenda tu rsSasa hauwezi fananisha ulaji wa mafuta wa subaru na hio vitz rs...
Sijajua, sina experience nazo hata kidogo. Ila nilimlaza na viatu na Crown yanguKwani disco 3 hua zinakimbia?
Si ndio nimesema una danger, sijakaa uwezo wako mkuuHuu ni mwaka wa 12 naendesha gari Mkuu na Safar ndefu nimefanya nyingi Sana...
😂😂😂 sawa mkuu,ile disco 3 tdv6 2.7l ile ni diesel kwny mbio ni hamna kitu,zile za Petrol za 4.0l na 4.4l angalau zinajitahidi lkn weight ya gari pia nayo ni kubwa.Sijajua, sina experience nazo hata kidogo. Ila nilimlaza na viatu na Crown yangu
Uzuri wa zile gani ni nini sasa ? Machoni yanaonekana mazuri, yaani yanatamanisha😂😂😂 sawa mkuu,ile disco 3 tdv6 2.7l ile ni diesel kwny mbio ni hamna kitu,zile za Petrol za 4.0l na 4.4l angalau zinajitahidi lkn weight ya gari pia nayo ni kubwa.