Hahahah natambua uwepo wako chief! Kwa mtu alietumia mikeka ya UK kuchakaza speedo huwezi mshangaa katika hili 😸! Gari ni lazima ikwende chap!Mimi ni punguani namba moja. Gari isio na mwendo wa kueleweka siitaki.
Hapa naona umeamua kutuokota mzee baba 😹😹😹!Kitu kimoja unachokosea ni kua engine ya 1Nz ya gari ya mwaka 2001 haiwezi kua na performance sawa na engine ya 1Nz ya gari ya mwaka 2008..unaweka wapi suala la technology pembeni?...
Mkuu hizo rumion ndio hizi zenye kama kambale au?Juzi-kati nimetoka DAR saa 7 usiku na nimeingia Dodoma saa 1 asubuh na Toyota rumion nakumbuka kipande cha kutoka Dodoma kuitafuta singida nimewapa adabu na adhabu madereva wa IST,raum,wish,rush na spacio...
Crown ni tamu .. zinashikisha adabu gari nyingi sana.. nisha mchezesha mtu mwenye Discovery 3, ila nahisi hakuwa dereva mzuri,
Crown tena? si tulishaimaliza Mada ya Crown kuchapwa na VW Golf au apambanishwe na Subaru? labda km hatuangalii mwendoZote hizo hazifui dafu kwa Crown
😀😀😀😀 kweli mada tumefunga, tulisahahu tu Golf GTI ni motoCrown tena? si tulishaimaliza Mada ya Crown kuchapwa na VW Golf au apambanishwe na Subaru? labda km hatuangalii mwendo
Hapa tunaelimishana njia sahihi na salama za kuendesha gari. Lakini mwisho wa siku uamuzi ni wako unaweza hata usishike usukani kabisa hata ukiwa 180kph ni wewe.jamaa naona anapita kwetu kuingia Dodoma, km sikosei kutokea Chigongwe kwenda mizani ya Nala, barabara ni nyeupe kwa hiyo ushikaji wa usukani si lazima kufuata Mwl alivyofundisha huko VETA maana hiyo gani ina pedal 2 tu tofauti na sisi tuliozoea manual, mkono mmoja mwingine kwenye fimbo, hata iwe 180 km/h sishiki km hizo saa, mradi mikono isipishane kwani hata tyre burst ikitokea ni akili yako si ya darasani tena
View attachment 1723015
RRONDO hapo nimekuelewa na mm naamini usalama kwanza na wala sitabisha ila nilitaka niweke wazi usukani unapishana kwa maumbo na ushikaji wake, wengine Auto wengine stick kwa hiyo mkono mmoja utahama na ushikaji wakeHapa tunaelimishana njia sahihi na salama za kuendesha gari. Lakini mwisho wa siku uamuzi ni wako unaweza hata usishike usukani kabisa hata ukiwa 180kph ni wewe.
Mie mzee wa auto hizo tabu hazipo 😀😀😀.. mie mda wote mikono miwili ipo kwenye msikanyo 😀😀😀 maana mda wowote huwa nakimbia kimbia. Na nimeishazoe kushika kwa mikono yote miwili hata niwe mwendo mdogo🤣😍
RRONDO hapo nimekuelewa na mm naamini usalama kwanza na wala sitabisha ila nilitaka niweke wazi usukani unapishana kwa maumbo na ushikaji wake, wengine Auto wengine stick kwa hiyo mkono mmoja utahama na ushikaji wake
mm kushika saa 8:20
Holy Man
p/se usimuige huyo jamaa yeye hajafunga mkanda na ni gari kubwa sio Premio 🤣
View attachment 1723889
safi kabisa kwa gari ndogo huchoki, nitasinzia baada ya masaa manne tu au kwa vile imeinuka lkn gari kubwa stearling km vile inapakatwa km ungo! ingawa kuna adjust ukifanya mchezo mgongoMi nashika saa 9 kamili au saa 6 na robo.
Mie mzee wa auto hizo tabu hazipo 😀😀😀.. mie mda wote mikono miwili ipo kwenye msikanyo 😀😀😀 maana mda wowote huwa nakimbia kimbia. Na nimeishazoe kushika kwa mikono yote miwili hata niwe mwendo mdogo
Ni nzuri ila zinataka uangalifu mkubwa kwenye gear box kwa sababu zinatumia cvt..Hizi Ruminion naziona nyingi kweli cku hizi ubora wake katika nyanja mbalimbali ukoje?
Ni nini kinakufahisha kwenye Vits RS mkuuUko sahihi mkuu kama Mimi sahivi naipenda vitz rs hata unipe Subaru siwezi chukua
You have a point. Ila trust me zile gari za F1 zina tofauti kubwa sana. Merc ya LH iko far ahead of the rest.Siku zote dereva ndo muhimu kuliko gari ndio maana kwenye F1 magari mwngi ni sawa ila mshindi yule yule
Muundo wake tu harafu kadogo sipendi gari kubwaNi nini kinakufahisha kwenye Vits RS mkuu
Huyo wa xtrail alijua mpo kwenye ligi?Juzi-kati nimetoka DAR saa 7 usiku na nimeingia Dodoma saa 1 asubuh na Toyota rumion nakumbuka kipande cha kutoka Dodoma kuitafuta singida nimewapa adabu na adhabu madereva wa IST,raum,wish,rush na spacio...
Alijua namfukuzia ndiyo maana alikuwa anatembea na speed kubwa Kwenye vibao vya 50 mpaka akakamatwa na trafficHuyo wa xtrail alijua mpo kwenye ligi?
Benz wanasumbua sana kwenye F1 kwasababu gari zao zipo superior kuliko the rest.Siku zote dereva ndo muhimu kuliko gari ndio maana kwenye F1 magari mwngi ni sawa ila mshindi yule yule
Mbio kwa barabara zetu na trafiki wenye tochi unafurahisha jamaa tuNakataa kama ni Nissan xtrail new model inatembea balaa