Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahah natambua uwepo wako chief! Kwa mtu alietumia mikeka ya UK kuchakaza speedo huwezi mshangaa katika hili 😸! Gari ni lazima ikwende chap!Mimi ni punguani namba moja. Gari isio na mwendo wa kueleweka siitaki.