Tozo mpya 17, mwendelezo wa maumivu kwa Mtanzania

Kale ka wimbo kenu wacha waisome namba, huwa ni katamu sana mnapokaimba kwenye vikao na mikutano yenu, mkija kwenye uhalisia huku Uswazi tunakoishi, na nyie pia mnaisoma namba kikamilifu, hamko exempted na mikodi na matozo mnayoyaasisi kila uchao
Kuna ambao wako exempted! Huwezi kuumia kama daily unaingiza 300k ukiwa umekaa tu
 
Kumbe wewe Ni nesi. Bora wewe uko ndani. Mimi Ni mlinzi nyumbani kwa mbunge mmoja mzembe mzembe Kuna baridi Dodoma njombe kumesingiziwa.
Umeassume ni nesi simply kwasababu ana id ya kike
 
Nikukumbushe tu ccm haitegemei kura kuwepo madarakaani...zile ni geresha tu
 
Hiv hizo tozo ni kwamba hizo shughuri zilikuwa hazilipi kodi mwanzoni ama? Mbona wanatengeneza mazingira ya kuua uwekezaji kwa kuwajazia makodi
 
Hii nchi aliyekuwa analipa kodi haswa ni mtumishi kwa kutumia paye. Imagine unalipwa mshahara wa mil 3 paye pekee ni 720k kwa mwezi zidisha kwa mwaka. Sasa ni mfanyabiashara gani wa kati analipa kodi hiyo? Kodi zitozwe na zitumike ipasavyo, sio mambo mtu anafanya ubadhirifu wa bil 100 faini mil 8 huu unakuwa utani.
 
Rais hazungukwi na yoyote anajizunguka mwenyewe tu.

Katika nchi hii ukiondoa tozo za halmashauri hakuna jambo lolote linalohusu fiscal policy ambalo litafanyika bila kupita kwenye Baraza la mawaziri ambako rais ni mwenyekiti wake.


Mstake kumuondoa rais kwenye responsibility yake kama anazungukwa halafu katulia tu hiyo ni acquiescence na ni uzembe wake mwenyewe.
 
Ulianza kwa kujenga hoja vizuri mwishoni ukaharibu focus. Au ulimpa mtu mwingine amalizie?
 
Extrovert
 
Sababu hatuna control na hizo tozo zinazokusanywa yani.

Bora mfuko huo ungekuwa wa wananchi wenyewe kama wanavyoita za kizalendo ili hata zikianza kutolewa hizo hela tuwe na wawakilishi wetu tujue kinatoka kiasi flani kwenda kufanya jambo flani! Hapo manung’uniko yangu yatakoma ila sio hela tuwakusanyie mafisadi wa CCM wao wadokoe wanavyojiskia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…