Tozo mpya 17, mwendelezo wa maumivu kwa Mtanzania

Mwanamke na uongozi ni vitu viwili tofauti hili liwe fundisho

Hakuna Sheikh, Papa, Askofu wala Padre mwanamke
 
Mwanamke na uongozi ni vitu viwili tofauti hili liwe fundisho

Hakuna Sheikh, Papa, Askofu wala Padre mwanamke

Prince Kunta hii comment yako ungetuelezea kwa uzuri zaidi tukuelewe

Sababu huyohuyo mwanamke ndio mwenye jukumu kubwa la kuangalia welfare ya familia kwa ukaribu, vitendo na miongozo na ndio anayewatengeneza wanaume kwa kiasi kikubwa zaidi, na kuwafanya kuwa bora kama unavyowaona
 
ukirudi nitag
 
Anachofanya mwanamke katika familia sio uongozi, baba ndo kiongozi na mama ni mtekelezaji tu ndo mana mwanaume ni kichwa cha familia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ