Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa kama nakuona unavyolipua kazi ili uje JFNitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza
Gaidi mbowe kuliwa na papasi ndio furaha ,Kodi tuatalipa tu ilimradi gaidi afungweNa bado mpaka akili zitusogee.
CCM hii haiwahusu.
Umekosa hoja na umejawa na aibu ukaona umtaje Mbowe utadhani ndio aliepanga hizo tozoGaidi mbowe kuliwa na papasi ndio furaha ,Kodi tuatalipa tu ilimradi gaidi afungwe
USSR
Sisi tunajenga nchi nyie bomoeni tuwashuglikieUmekosa hoja na umejawa na aibu ukaona umtaje Mbowe utadhani ndio aliepanga hizo tozo
Kumbe wewe Ni nesi. Bora wewe uko ndani. Mimi Ni mlinzi nyumbani kwa mbunge mmoja mzembe mzembe Kuna baridi Dodoma njombe kumesingiziwa.Nitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza
Hawa waheshimiwa walisoma chuo kikuu Cha Dares salaam. Ni wachumi wabobezi kutoka chuo alichokua anafundisha mh. Kalamaganda Kabugi.Dk. Mpango na Mwigulu acheni kumpotosha huyo mama.
Mtaumiza sana wananchi kwa style hii.
Nitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza
"Upinzani umetuchelewa sana."
Sasa ndio mtajua faida ya uponzani dhidi ya wagonga meza...
Maumivu zaidi ni kwa walisaidia wizi wa kura 2020, Hadi maji utaita mma
Ha ha ha chuo cha Mwakyembe na Kabudi.Hawa waheshimiwa walisoma chuo kikuu Cha Dares salaam. Ni wachumi wabobezi kutoka chuo alichokua anafundisha mh. Kalamaganda Kabugi.
Kesho lazima nikalipe ada niwe Mwanachama hai wa CCM.Mkuu acha uongo,wana ccm wakitaka kupata huduma zote zinazohusiana na mambo ya tozo wanaonyesha tu kadi ya chama afu wanapewa discount.Kwa hio tozo haziwahusu kabisa mkuu.
Kesho lazima nikalipe ada niwe Mwanachama hai wa CCM.
Kwani kila anayehudumia wagonjwa ni lazima awe nurse?Kumbe wewe Ni nesi. Bora wewe uko ndani. Mimi Ni mlinzi nyumbani kwa mbunge mmoja mzembe mzembe Kuna baridi Dodoma njombe kumesingiziwa.