Tozo ya kodi posta Tanzania unapoagiza bidhaa kutoka Aliexpress China

Tozo ya kodi posta Tanzania unapoagiza bidhaa kutoka Aliexpress China

Samahani wakulungwa.... hivi kuagiza mzigo kwa njia ya POSTA ni lazima nifungue SANDUKU la posta???
Au naweza muagiza bila hata ya kuwa na sanduku laleo posta,?? Na mzigo ukafika ??
 
Samahani wakulungwa.... hivi kuagiza mzigo kwa njia ya POSTA ni lazima nifungue SANDUKU la posta???
Au naweza muagiza bila hata ya kuwa na sanduku laleo posta,?? Na mzigo ukafika ??
Siyo lazima kuwa na sanduku la posta. Ukijaza tu taarifa zote za muhimu inatosha na mzigo utafika.
 
Samahani wakulungwa.... hivi kuagiza mzigo kwa njia ya POSTA ni lazima nifungue SANDUKU la posta???
Au naweza muagiza bila hata ya kuwa na sanduku laleo posta,?? Na mzigo ukafika ??
Kina cho hitajika namba yako ya simu mkoa ulipo na wilaya habari imeisha
 
Mi nakumbuka kioo cha simu yangu kilivyofika nilitozwa buku mbili na ushee tu nikapewa mzigo wangu,hadi leo simu ipo poa kama mpya vilee
 
Kina cho hitajika namba yako ya simu mkoa ulipo na wilaya habari imeisha
Daaah kumbe umenifungua akiki sana mkuu. Hapo awali, nilikuwa nawaza namna yaya kufungua posta box sasa nikasema duh hayaI mambo mbna ni ghali tena. Kwa ufafanuzi huu nitakuwa nafanya na mini manunuzi online aisee.
 
Ndugu nataka niwe naagiza mali china unaweza nisaidie
Mkuu mbona wengi sasahv wanaagiza China, mimi sio mfanyabiashara lakini nimeshaungwa kwenye magroup naona kila siku watu wapo bussy kuulizia bidhaa, kununua Yuan na kuagiza bidhaa!
 
Mkuu mbona wengi sasahv wanaagiza China, mimi sio mfanyabiashara lakini nimeshaungwa kwenye magroup naona kila siku watu wapo bussy kuulizia bidhaa, kununua Yuan na kuagiza bidhaa!
Aisee ni kweli. Ila sikuwahi kufahamu kwamba bila ya kuwa na sanduku la posta unaweza, ukaagiza.
 
Hivi ukiagiza mzigo kwa kutumia Aliexpress na tracking ikikuonesha kuwa mzigo tayari umeshafika Tz, vipi ndio niwahi posta kwenda kufata mzigo wangu?!
[emoji115][emoji115][emoji115]Nashukuru mzigo wangu ulifika salama, nilikwenda kuufata tarehe 14 Juni, tatizo lililopo ni kwenye kodi za TRA na uendeshaji posta, bei ya mzigo ilikuwa ni US$ 18(43990), hivyo TRA nikawalipa 48% ya mzigo ambayo 21115 + gharama za uendeshaji Posta 5900. Hivyo zimenitoka jumla 27015.
[emoji1474]
 
[emoji115][emoji115][emoji115]Nashukuru mzigo wangu ulifika salama, nilikwenda kuufata tarehe 14 Juni, tatizo lililopo ni kwenye kodi za TRA na uendeshaji posta, bei ya mzigo ilikuwa ni US$ 18(43990), hivyo TRA nikawalipa 48% ya mzigo ambayo 21115 + gharama za uendeshaji Posta 5900. Hivyo zimenitoka jumla 27015.
[emoji1474]
Wewe unaonaje gharama? Ni ghali kuliko kama ungenunulia hapa hapa?
 
Wewe unaonaje gharama? Ni ghali kuliko kama ungenunulia hapa hapa?
Kwa kifupi nimeona ni gharama za kawaida na kila nilipolipia sikuchukua change, kwa maana nilichokiagiza hapa Tz hakipo, na hata kama ningeagiza kwingine nje ya aliexpress basi bei yake isingepungua chini ya laki. Ijapokuwa ni kitu kidogo sana.
[emoji1474][emoji1474][emoji1474]
 
Hivi wakuu nikiagiza kitu aliexpress lakini courier nikatumia DHL ama UPS vipi mzigo wangu nitaupata direct ama ndio nitaufata tena Posta??
Mambo ya posta yanaboa sana wizi mtupu maana unaagiza kitu cha US$18 then tra wanakuchaji 48% ya bei uliyonunulia wakati wengine wanaagiza mizigo hadi ya US$100 na wanakwenda kuchukua mizigo yao bila kuchajiwa senti[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Umesahau import Duty 25% kwa simu
Simu haitozwi import ,wala excise duty
Unalipia railway levy 1.5% , custom processing fee 6%, then Vat 18% ya bei ya simu ikiwa imeshajumlishwa 1.5% levy +6% processing fee
 
Kwa kweli sijui customs ya posta kazi yao ni nn siku hz wana category mbovu kuliko kawaida
 
Je nikiagiza mzigo kupitia DHL utapitia kwao, au utakuja kwangu direct?
Nafikiri haupiti posta.. na kama umekuja kwa ndege .. utapitia tra hapo dhl wata u clear then unakuja kulipa gharama
 
Nafikiri haupiti posta.. na kama umekuja kwa ndege .. utapitia tra hapo dhl wata u clear then unakuja kulipa gharama
Sasa chief nitakuja kulipa gharama zipi tena wakati nishalipia tangu mwanzoni?
Ndio maana nikauliza baada ya kulipia utanifikia mkononi au utapitia posta. Na kama nitakuja kulipia tena kuna uzuri gani kutumia DHL?
 
Ila wanachotufanyia TRA muda mwingine ni wizi wa wazi wazi, kwenye asilimia ya makato huwa wanatuongezea kodi.
Screenshot_20210705-095635.jpg

Walinikata 48% wakati kiwango stahiki ni 45%
Screenshot_20210705-095713.jpg

Inamaana wafanyakazi wa TRA wanapitisha wizi wao kwa kutukata kwenye % mwisho wa siku wanajiongezea kipato cha haramu!
 
Back
Top Bottom