Tozo ya kodi posta Tanzania unapoagiza bidhaa kutoka Aliexpress China

Tozo ya kodi posta Tanzania unapoagiza bidhaa kutoka Aliexpress China

Ila wanachotufanyia TRA muda mwingine ni wizi wa wazi wazi, kwenye asilimia ya makato huwa wanatuongezea kodi.
View attachment 1842078
Walinikata 48% wakati kiwango stahiki ni 45%
View attachment 1842077
Inamaana wafanyakazi wa TRA wanapitisha wizi wao kwa kutukata kwenye % mwisho wa siku wanajiongezea kipato cha haramu!
Iwe manufaa na kwa wengine...

Ilikuwa hivi... mwaka 2019 mwezi wa 12 niliagiza simu aina ya Realme X 8/256 kwa 256$ wale jamaa nilicontact nao nikawaambia kuwa customs clearance kwa TZ ni kubwa so nikawaomba wa declare around 100$ ili isiniwie vigumu kuikomboa ikifika bongo... Ila jamaa waka reply usiwaze tutadeclare 30$ right? nikawaambia fresh.. ilipofika nililipa around 14K TZS tu.

Nilifanya hivyo kwa saa na mizigo mingine yoote niliyohisi itatozwa kodi bongo..

Sijazipata conversations ila ninge screenshot muone
 
Iwe manufaa na kwa wengine...

Ilikuwa hivi... mwaka 2019 mwezi wa 12 niliagiza simu aina ya Realme X 8/256 kwa 256$ wale jamaa nilicontact nao nikawaambia kuwa customs clearance kwa TZ ni kubwa so nikawaomba wa declare around 100$ ili isiniwie vigumu kuikomboa ikifika bongo... Ila jamaa waka reply usiwaze tutadeclare 30$ right? nikawaambia fresh.. ilipofika nililipa around 14K TZS tu.

Nilifanya hivyo kwa saa na mizigo mingine yoote niliyohisi itatozwa kodi bongo..

Sijazipata conversations ila ninge screenshot muone
Kutoka aliexpress?
 
Mkuu TRA wanajumuisha pesa ya usafiri kwenye kukata hyo 18% au hamna



transport inatolewa... ingawa mara ingine nakuwa inajumlishwa.. yaan huwe sielewag sababu .. ila mara chache sana..

sababu wao wanachofanya wana deal na bei ya soko ya mzigo wako kwa mujibu wa vyanzo vyao ndo maana kwenye ile form kuna vitu viwili

Declared na assessed .. declared ni bei iliopo kwenye invoice yako kutoka kwa supplier wako.. assessed ni bei za TRA kwa mujibu wa vyanzo vyao..

rule of thumb ni kuwa.. kama bei uliodeclare iko juu kuliko ya kwao wanafata bei yako kama ya kwako iko chini kuliko ya kwao wanafata ya kwao..

pia kuna gharama ya percent flan kutegemea na HS code ya mzigo wako... HS code % zinaanza 0% wakat mwingine had 50%...
 
Iwe manufaa na kwa wengine...

Ilikuwa hivi... mwaka 2019 mwezi wa 12 niliagiza simu aina ya Realme X 8/256 kwa 256$ wale jamaa nilicontact nao nikawaambia kuwa customs clearance kwa TZ ni kubwa so nikawaomba wa declare around 100$ ili isiniwie vigumu kuikomboa ikifika bongo... Ila jamaa waka reply usiwaze tutadeclare 30$ right? nikawaambia fresh.. ilipofika nililipa around 14K TZS tu.
Simu ya mkononi haina import duty! Na hata ukiangalia hapo utakuta hiyo uliyolipia ni vat 18% reli 1.5% na processing 0.6%
Jumla 18% + 1.5% + 0.6% = 20.1%
Hivyo 20.1% ndani ya dola 30(69000)
69000/100 = 690 x 20.1
= 14,490 Nadhani tumeelewana
Screenshot_20210705-121049_1.jpg

Nimekuonesha hapo kuwa simu ya mkononi haina import duty.
Ila nitafata ushauri wako kuanzia sasa ni mwendo wa kushusha bei tu!!
 
Iwe manufaa na kwa wengine...

Ilikuwa hivi... mwaka 2019 mwezi wa 12 niliagiza simu aina ya Realme X 8/256 kwa 256$ wale jamaa nilicontact nao nikawaambia kuwa customs clearance kwa TZ ni kubwa so nikawaomba wa declare around 100$ ili isiniwie vigumu kuikomboa ikifika bongo... Ila jamaa waka reply usiwaze tutadeclare 30$ right? nikawaambia fresh.. ilipofika nililipa around 14K TZS tu.

Nilifanya hivyo kwa saa na mizigo mingine yoote niliyohisi itatozwa kodi bongo..

Sijazipata conversations ila ninge screenshot muone
Hyo tozo ni bei ya mzigo tuu au na usafiri?
 
Nilitegemea mtu kununua kitu kimoja kwa matumizi yake iwe bure lakini wapi huku kuna Shida
Samahani mkuu hujanijibu.
Bei ya kitu ni USD 60 na usafiri ni USD 12 unalipia kodi ya bidhaa pekee au pamoja na usafiri?
 
Sasa chief nitakuja kulipa gharama zipi tena wakati nishalipia tangu mwanzoni?
Ndio maana nikauliza baada ya kulipia utanifikia mkononi au utapitia posta. Na kama nitakuja kulipia tena kuna uzuri gani kutumia DHL?
Unaponunua mzigo unakuwa umelipa na kodi? Hao DHL wenyewe wanataka hela yao. Hawakufanyii kazi bure.
 
Siku nyingine ukiagiza na ukatozwa tozo unayohisi ni kubwa:
1: Muone inchaji wa customs department akupe ufafanuzi, kipi kinachajiwa na kwa nini?
2: Muone mkuu wa posta unapochukulia vifurushi vyako akupe ufafanuzi.
Humu tutakujaza mafuta. Go to reliable source ( msisitizo)
Ushauri kama huu ndio anaupata humu sasa...
don't underestimate the power of jf
 
Simu ya mkononi haina import duty! Na hata ukiangalia hapo utakuta hiyo uliyolipia ni vat 18% reli 1.5% na processing 0.6%
Jumla 18% + 1.5% + 0.6% = 20.1%
Hivyo 20.1% ndani ya dola 30(69000)
69000/100 = 690 x 20.1
= 14,490 Nadhani tumeelewana
View attachment 1842203
Nimekuonesha hapo kuwa simu ya mkononi haina import duty.
Ila nitafata ushauri wako kuanzia sasa ni mwendo wa kushusha bei tu!!
Hapo sasa assume angeandikiwa $256 na sio $30 maana yake angepasuka zaidi ya laki 1 hivo mtu anaweza kughairi kuagiza kitu nje Kwa gharama ya Kodi Tu na risk ya kupoteza mzigo lakini pia muda anaotumia kusubiria


mfano simu huku inauziwa laki 600000 Ila nje umeona inauziwa 380000 Ila makato 100000 sasa hapo si bora ununue huku Tu maana kuondoa usumbufu wa kusubiri mzigo wako
 
Hapo sasa assume angeandikiwa $256 na sio $30 maana yake angepasuka zaidi ya laki 1 hivo mtu anaweza kughairi kuagiza kitu nje Kwa gharama ya Kodi Tu na risk ya kupoteza mzigo lakini pia muda anaotumia kusubiria


mfano simu huku inauziwa laki 600000 Ila nje umeona inauziwa 380000 Ila makato 100000 sasa hapo si bora ununue huku Tu maana kuondoa usumbufu wa kusubiri mzigo wako
Chief, kinachomata ni kuokoa fedha, unafikiri kuokoa 120,000 kwenye 600,000 ni jambo dogo??
Kanuni moja ya matumizi ya hela ni pamoja na kuwa na matumizi mazuri. Sasa hapo hiyo 120,000 si unaweza kufanyia jambo jingine la maana.
 
Back
Top Bottom