4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Mda wa kukusanya hasira KWA wananchi kuelekea chaguzi zijazo , Taifa bado linaitaji mabadiliko MAKUBWA ya kiuongoziKwanini nasema hivyo? Kwa sababu hakuna mtu ataenda kununua vocha ya sh 1000 dukani wakati anajua kabisa atakatwa kiasi cha sh 100 au zaidi wakati huohuo hakuna kifurushi cha sh 900...
Tz shida Sana, bado kodi ya kulipia baiskel itakuja tu lain tiyari,