mbegubora29
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 513
- 338
Hilo Ni gumu kjnMisahara yao ilipwe kupitia njia ya simu maana ndio uzalendo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo Ni gumu kjnMisahara yao ilipwe kupitia njia ya simu maana ndio uzalendo
Nilimwelewa mama mwanzoni, aliupiga mwingi on target. Lakini sasa anaupiga mwingi off target.Kuhusu tozo za miamala ya simu mie bado nipo pamoja na mh. Raisi kwan amelazimika kutoka na hali halis aliyoikuta ya mtanguliz wake.
Tuvumilieni na tumpe matumaini na tumkosoe kwa staha kwakuwa yeye Ni binadam hataacha mapungufu ila sio matusi Kama wafavyo wahuni.
Haya mnayoyaona Sasa Ni matokeo ya mwendazake na lilikuwa Jambo la muda tu lazima yangetokea na nahis yangepita hapa.
Mama amekaa muda mchache ila ameleta matumaini makubwa kwa wananchi,tusimbeze badala yake tunpe muda tu hali itaimarika.
Wangekusanya MAONI kabla ya implementationView attachment 1856216
Wadau, tutiririke hapa au mnaonaje?
Unaweza kusoma maoni ya wengine kupitia hii TAG on JF: tozo za miamala
Kodi hizi zipungizwe by 50% bado serikali itapata fedha za kutosha kutokana na turnover kubwa itakayosababishwa na wananchi kuendelea kutumia online transactions kwa idadi kubwa.Logic ni kuwa:
1. Wakati uchumi dunia nzima umeshuka sababu ya ugonjwa wa corona, baadhi ya nchi za wenzetu zimefikia hatua ya kuwapa watu wao pesa, au kuwapunguzia kodi, kwetu sisi haiwezekani ikawa ni busara kutwaa pesa zaidi za wananchi kipindi hiki ambacho uchumi ni mgumu zaidi
2. Kuna kodi nyingi sana zipo tayari kwenye miamala ya kwenye mitandao, kuna VAT tayari iko pale, kuna kodi ya kuchaji laini kila ukiweka hela, kuna kodi ya kutuma kuna kodi ya kutoa- Hizi ni Multiple taxations kwenye huduma ambazo basically ni kwa huduma zinazoshabihiana, hupaswi kuendelea kuongeza makato katika makato ambayo tayari yapo, kufanya hivyo ni too much
3. Kuongeza makato kwenye huduma ambayo ni ya msingi kwa wananchi ni kutaka wananchi warudi katika ugumu wa maisha wa zamani wakati tayari kuna unafuu wa maisha waliokwisha upata kwenye kufanya shughuli zao za kiuchumi. Maendeleo siyo tu kujenga mabarabara na mashule tu, Maendeleo ni pamoja na wepesi wa kurahisisha maisha ya wananchi. Sasa hata hilo serikali inataka kuitwaa?
4. Hatua ya kuongeza hizi kodi itaua ajira za watu kibao kwa sababu wananchi watapunguza kutumia huduma hizi za miamala kutumia kampuni za simu, wale mawakala wataanza kukosa pesa
5. Haya makato yanazidi kuyatajirisha makampuni ya Simu kwa pesa za burebure kutoka kwa wananchi,maana pale serikali inapoongeza makato haya ili ipate hela nyingi, basi na makampuni hayo nayo pia yanatumia opportunity hiyo nayo kuongeza pesa yanayochukua kwenye miamala hiyo. Yaani Just imagine sasa hivi makampuni ya simu yanakaribia kuchukua pasu kwa pasu na serikali katika kile yanachomkamua mwananchi. Sasa kwa nini sisi wananchi tuwe ng'ombe wa kukamua kuzidi kutajirisha haya makampuni
6. Haya makato kiufupi yataua uchumi mdogomdogo uliokuwa uliokuwa umejiambatanisha na huduma hizi za miamala kupitia simu. Sasa kodi yenye kuua uchumi mdogo kwa ajili eti ya kujenga uchumi mkubwa ni kodi ya ajabu kwa sababu uchumi mdogomdogo ndiyo unagusa wananchi wengi ambao wanategemea kuta hela ya kula on a daily basis
7. Serikali iione hizi huduma kama aid to trade kusaidia wananchi na siyo source ya kutegemea kwa ajili ya kodi
Kuna haja ya wabunge kulipwa 3M kwa mwezi na posho ya 100,000 kwa siku ili waweze kuona hali ya maisha jinsi ilivyo mtaani! Bila kuwa taste of their own flesh wataendelea kutufanya sie mandezi tu miaka yote!"Hizi gharama mpya za mitandao ni dalili kuwa hatujuani hali zetu. Hayo makato sio mzigo kwa wenye uwezo bali kwa "wanyonge" ni mzigo mzito. Hakika matajiri na mali zao na maskini na watoto wao."- Dr. Stephen Munga
TATIZO SIO KUTOLIPA KODI TATIZO KODI HAZIANGALII HALI ZA WATU AS IF WOTE TUNALIPWA 12M KAMA WABUNGE.
KODI ZIJE KULINGANA NA KIPATO CHA MTU NA HUO UNYONYAJI KISA WAO WANA VIPATO VIKUBWA. KWA WASIFIKIRI KUPUNGUZA MATUMIZI YA SERIKALI KWANZA.???
Hapa ndipo napata ukakasi, "....kutokana na hali aliyoikuta....", una taarifa zozote za hali aliyoikuta? Ipi? Yeye amezungumzia lengo la kuongeza hizo tozo ni barabara na maji ambayo kimsingi huyo aliyemtangulia alikuwa akifanya tu bila kuongeza tozo huku chini bali juu.Kuhusu tozo za miamala ya simu mie bado nipo pamoja na mh. Raisi kwan amelazimika kutoka na hali halis aliyoikuta ya mtanguliz wake.
Tuvumilieni na tumpe matumaini na tumkosoe kwa staha kwakuwa yeye Ni binadam hataacha mapungufu ila sio matusi Kama wafavyo wahuni.
Haya mnayoyaona Sasa Ni matokeo ya mwendazake na lilikuwa Jambo la muda tu lazima yangetokea na nahis yangepita hapa.
Mama amekaa muda mchache ila ameleta matumaini makubwa kwa wananchi,tusimbeze badala yake tunpe muda tu hali itaimarika.