Tozo za Miamala: Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano (TCRA - CCC) linataka maoni yako

Tozo za Miamala: Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano (TCRA - CCC) linataka maoni yako

Kuhusu tozo za miamala ya simu mie bado nipo pamoja na mh. Raisi kwan amelazimika kutoka na hali halis aliyoikuta ya mtanguliz wake.

Tuvumilieni na tumpe matumaini na tumkosoe kwa staha kwakuwa yeye Ni binadam hataacha mapungufu ila sio matusi Kama wafavyo wahuni.

Haya mnayoyaona Sasa Ni matokeo ya mwendazake na lilikuwa Jambo la muda tu lazima yangetokea na nahis yangepita hapa.

Mama amekaa muda mchache ila ameleta matumaini makubwa kwa wananchi,tusimbeze badala yake tunpe muda tu hali itaimarika.
Unatafuta uteuzi nini? Umeandika pumba tupu bora ungekaa kimya
 
Hii serikali iliingia baada ya mtangulizi kuiba kura,kupora Mali za watu,kuteka,kufunga na kupoteza raia wake,hivyo haijajipanga,huwezi kuchukua Kodi kubwa kiasi hicho kwa raia wako wanaokulipa pesa na posho isiyo na kifani.walao wangeongeza tsh 200 kwa Kila muamala .Nashawishika kuungana na wanaodai KATIBA MPYA ili iturahisishie kuondoa madarakani hawa wanyanganyi.
 
Kuhusu tozo za miamala ya simu mie bado nipo pamoja na mh. Raisi kwan amelazimika kutoka na hali halis aliyoikuta ya mtanguliz wake.

Tuvumilieni na tumpe matumaini na tumkosoe kwa staha kwakuwa yeye Ni binadam hataacha mapungufu ila sio matusi Kama wafavyo wahuni.

Haya mnayoyaona Sasa Ni matokeo ya mwendazake na lilikuwa Jambo la muda tu lazima yangetokea na nahis yangepita hapa.

Mama amekaa muda mchache ila ameleta matumaini makubwa kwa wananchi,tusimbeze badala yake tunpe muda tu hali itaimarika.
Magufuli attackers at work stupid guy may come with such comment
 
Kwanini hawakutaka maoni yetu kabla ya kuanzisha tozo hizo?
Kabisa watatakaje maoni wakati sheria ishapitishwa na makato yameshaanza?
Hilo baraza nalo limelala .
Hakuja cha maoni wala nini , tozo hizo ni haramu zifutwe
 
View attachment 1856216

Wadau, tutiririke hapa au mnaonaje?

Unaweza kusoma maoni ya wengine kupitia hii TAG on JF: tozo za miamala
Nawaza tu una elfu tano, mtu amekuomba elfu tatu au elfu nne umrushie alipie dawa , au chakula , au kunadharura au ameharibikiwa na gari mahali na fundi anataka elfu nne na yeye hana, Hivi unamsaidiaje!!? Hapa si ndio tunaanza kuonana sisi sio wazalendo hatutaki kusaidiana kisa makato ya kimshikamano!!? Hapa tunashikamana wapi!!?
 
Tatizo ni matumizi ya hizo kodi
Ghafla utasikia uwanja wa ndege unajengwa kijijini kwao pemba
Kulisahauliwa sana kule mkuu,sio mbaya sana ili tuimarishe Muungano wetu,ila yote kwa yote kikubwa ni tuone maendeleo kwa jasho letu kupitia hizo tozo na sio kulipana posho za kipuuzipuuzi tu
 
View attachment 1856216

Wadau, tutiririke hapa au mnaonaje?

Unaweza kusoma maoni ya wengine kupitia hii TAG on JF: tozo za

View attachment 1856216

Wadau, tutiririke hapa au mnaonaje?

Unaweza kusoma maoni ya wengine kupitia hii TAG on JF: tozo za miamala
Hiyo kitu havijakaa sawa.
Imekurupushwa .
Kwa sababu hii Miamala inatumika sana wakati
Wa misiba, watu wamepata ajali , kusaidiana tiba.
Kutuma ada za shule.
Na mengineyo mengi.

Sasa SERIKALI inatoza nini.
Marehemu hajazikwa serikali imeshakula hela.
Mgonjwa hajahudumiwa serikali imeshakula tozo.
Hivi kweli vifo na wagonjwa iwe chanzo cha mapato cha serikali?
Maoni yangu:-
Ongezeni kiasi chochote lakini msikiite tozo.
VAT WEKA 80%.
Siwanataka hela?
 
Back
Top Bottom