Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mwenye wazo la kupunguza gharama za matumizi ya serikali. Angalia misafara ya ma-V8 kati Dar na Dodoma, angalia misafara ya wakuu wa mikoa, RC mmoja aliehamishiwa Mwanza akiwa Tabora barabara zilikuwa zikifungwa kuepusha spite na msafara wa magari yake. Mkuu nae ni mwendo wa kupata kwenda kutuletea corona ."Hizi gharama mpya za mitandao ni dalili kuwa hatujuani hali zetu. Hayo makato sio mzigo kwa wenye uwezo bali kwa "wanyonge" ni mzigo mzito. Hakika matajiri na mali zao na maskini na watoto wao."- Dr. Stephen Munga
Tatizo sio kutolipa kodi tatizo kodi haziangalii hali za watu as if wote tunalipwa 12m kama wabunge.
Kodi zije kulingana na kipato cha mtu na huo unyonyaji kisa wao wana vipato vikubwa. Kwa wasifikiri kupunguza matumizi ya serikali kwanza?
Na V8 haizimwi ili AC ifanye kazi mteule asipate tabu.Unawekaje tozo ya shilingi 7,250/= kwenye mwamala wa elf 50......kimsingi kwa pesa ndogo kama hiyo jumla ya tozo haitakiwi kuzidi 700.....
Hii inaashiria serikali imekaukiwa vyanzo vya mapato kuendesha bajeti yake ambayo imelemewa na mzigo wa kulipa mishahara na posho nene nene kwa wateuliwa hasa ma-DC na ma-RC na kugharamia mashangingi yao, bila kusahau kutumia bajeti kubwa kuwalipa wagonga meza ambao hawajachaguliwa na wananchi kwenye uchaguzi huru, hivyo kukosa tija yoyote kwenye kuwakilisha wananchi.
Yaani serikali inafanya matumizi ya anasa kuwazidi hata matajiri. Hivi kuna manufaa gani kumpa DC au RC vii eite, kwani wana value gani kiasi kwamba hawastahili kutumia landrover, land cruiser hardtop au hata corolla ambazo hata wafanyabiashara wanaweza kuwachangia mafuta wanapokuwa na ziara za kwenda kukagua miradi na kuhamasisha maendeleo...
Badala ya kuwalipa wataalamu na kuwabana walete majibu ya changamoto za wananchi mnatumia pesa nyingi zaidi kuwalipa wateule, wanasiasa na viongozi na kugharamia magari yao ya anasa.....hivi mbali na awamu ya Nyerere nchi hii imewahi kuwa na viongozi serious tena? au ni mwendo wa kuchumia matumbo yao tu.....
Leo umenikumbush usemi wa kwenye msafara wa mamba na kenge wamo. Japo leo nashangaa kumwona mamba kwenye msafara wa kenge.Binafsi naunga na ninakubaliana na tozo mpya za miamala ya simu,Ni wajibu wangu Kama mtanzania kushiriki katika kuleta maendeleo ya nchi yangu kwa kulipa Kodi halali zote zinazotozwa na serikali yangu.
Watanzania wenzangu tuiunge mkono serikali ya awamu ya sita kwa kulipa Kodi ili iweze kutuletea maendeleo chanya.
Hakuna nchi yoyote duniani imewahi kupata maendeleo bila ya Kodi,hata ughaibuni wanalipa Kodi.
Tatizo ni matumizi ya hizo kodiSafi tu,tujenge nchi yetu kupitia kodi zetu,hakuna njia tunayoweza kuinua uchumi wetu bila kujifunga mikanda,na mikanda yenyewe ndio hizi tozo,cha msingi maendeleo yaonekane kupitia kukamuliwa kodi hizi
Sasa wao kwenye pombe ndiyo wanapunguza kabisa, Maana wanatengeneza wanywaji wengi,na wanapunguza watumiaji wa mobile MoneyCCM ni Chama dhalimu, hamuwezi kuwatwika mzigo mkubwa namna hii watu wa chini.
Pandisheni ushuru was sigara na pombe, Malaya walipe Kodi yaani kila starehe simika massive tax lakini sio kwenye vitu sensitive Kama mawasiliano
Na hizo bilioni zinazo tafutwa si kwa ajili ya matumizi ya maendeleo, ni kwa manufaa ya wakubwa.Waliweka VAT kwenye miamala tukavumilia,
Wameanzisha hizi tozo, naona wanatuchora tu. Eti maoni ili iwe nini?
Hapa kuna bilioni kadhaa zinatafutwa. Zikifika tukiwa wakaki wanaondoa hizi habari zao.
Vii eite lipo silencer mheshimiwa abaki kuwa comfortable, mkuu ni nini kifanyike serikali iachane na matumizi ya anasa ili pesa nyingi iende kwenye miradi na kuwalipa watumishi na wataalamu mishahara ya kuridhisha.......wafanyabiashara wanaoweza kumiliki na kuendesha vii eite ni wachache, lakini serikali inakusanya kodi kwa raia na wafanyabiashara kwenda kununua vii eite za watawala ambazo hata hao walipa kodi hawana. Matumizi ya serikali yanatakiwa yawe basic ili pesa nyingi iende kufanya mambo ambayo ni ya maslahi kwa walipa kodi, maji, elimu, afya, barabara, umeme, kilimo, mifugo, uvuvi, reli nk. Unapotumia asilimia 80 ya bajeti kuendesha serikali inayofanya anasa na kubakiza asilimia 20 ndo iende kwenye maendeleo hapa ndo uzumbukuku ulipo!Na V8 haizimwi ili AC ifanye kazi mteule asipate tabu.
TCRA mnajiaibisha. Unapotafuta maoni baada ya sheria kutumika na kuona taharuki toka kwa watumiaji ni ujinga. Mna watendaji ambao hawajui wajubu wao.View attachment 1856489
Swali: Mlikuwa wapi kuomba maoni kabla ya sheria? Hayo maoni yatasaidia nini kwa sasa
View attachment 1856216
Wadau, tutiririke hapa au mnaonaje?
Unaweza kusoma maoni ya wengine kupitia hii TAG on JF: tozo za miamala
Watuonee huruma.
Inaumaaaaaaaaaa
Ingefaa kwa wingi tukalalamike kwenye hiyo page yao huko twitter, nina uhakika kutakuwa na matokeo chanyaUmetumwa? Mwambie tunaandamana...
Njia sahihi kuyafikia maendeleo ni kuwa na bunge lenye meno, nalo huwezi lipata bila kuwa na katiba imara. Makusanyo ya kodi ni makubwa, japo yanaweza ongezeko vyanzo vingi vya mapato vikioanishwa. Tatizo lipo kwenye matumizi, ambapo wizi ni mkubwa, matumizi nje ya budget ni makubwa na hakuna mfumo wa udhibiti wa matumizi hayo.Vii eite lipo silencer mheshimiwa abaki kuwa comfortable, mkuu ni nini kifanyike serikali iachane na matumizi ya anasa ili pesa nyingi iende kwenye miradi na kuwalipa watumishi na wataalamu mishahara ya kuridhisha.......wafanyabiashara wanaoweza kumiliki na kuendesha vii eite ni wachache, lakini serikali inakusanya kodi kwa raia na wafanyabiashara kwenda kununua vii eite za watawala ambazo hata hao walipa kodi hawana. Matumizi ya serikali yanatakiwa yawe basic ili pesa nyingi iende kufanya mambo ambayo ni ya maslahi kwa walipa kodi, maji, elimu, afya, barabara, umeme, kilimo, mifugo, uvuvi, reli nk. Unapotumia asilimia 80 ya bajeti kuendesha serikali inayofanya anasa na kubakiza asilimia 20 ndo iende kwenye maendeleo hapa ndo uzumbukuku ulipo!
Umenikumbusha ngoja niende🏃♂️Ingefaa kwa wingi tukalalamike kwenye hiyo page yao huko twitter, nina uhakika kutakuwa na matokeo chanya
Viongozi wetu ni wavivu wa kufikiri na sio wabunifu kabisa,kifupi ni mazombi.Unawekaje tozo ya shilingi 7,250/= kwenye mwamala wa elf 50......kimsingi kwa pesa ndogo kama hiyo jumla ya tozo haitakiwi kuzidi 700.....
Hii inaashiria serikali imekaukiwa vyanzo vya mapato kuendesha bajeti yake ambayo imelemewa na mzigo wa kulipa mishahara na posho nene nene kwa wateuliwa hasa ma-DC na ma-RC na kugharamia mashangingi yao, bila kusahau kutumia bajeti kubwa kuwalipa wagonga meza ambao hawajachaguliwa na wananchi kwenye uchaguzi huru, hivyo kukosa tija yoyote kwenye kuwakilisha wananchi.
Yaani serikali inafanya matumizi ya anasa kuwazidi hata matajiri. Hivi kuna manufaa gani kumpa DC au RC vii eite, kwani wana value gani kiasi kwamba hawastahili kutumia landrover, land cruiser hardtop au hata corolla ambazo hata wafanyabiashara wanaweza kuwachangia mafuta wanapokuwa na ziara za kwenda kukagua miradi na kuhamasisha maendeleo...
Badala ya kuwalipa wataalamu na kuwabana walete majibu ya changamoto za wananchi mnatumia pesa nyingi zaidi kuwalipa wateule, wanasiasa na viongozi na kugharamia magari yao ya anasa.....hivi mbali na awamu ya Nyerere nchi hii imewahi kuwa na viongozi serious tena? au ni mwendo wa kuchumia matumbo yao tu.....