wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Mkuu wewe ni kada wa ccm, unadhani una utashi wa kukataa hata kama akilini mwako unajua kabisa sio sahihi?Binafsi naunga na ninakubaliana na tozo mpya za miamala ya simu,Ni wajibu wangu Kama mtanzania kushiriki katika kuleta maendeleo ya nchi yangu kwa kulipa Kodi halali zote zinazotozwa na serikali yangu...
Acheni kumlaumu mwendazake ,kama mumekosa ubunifu na uthubutu semeni tu, mwendazake kafanya mengi bila kuleta athari za kodi kwa mtu wa kawaida, katika miaka mitano alijifunga kibwebwe baada ya kukuta jungu kuu halina kitu hakusubiri kulialia na kumlalamikia mtangulizi wake, yeye alipata kodi kwa kuziba mianya ya wizi kama vile malipo ya Tanesco kwa makampuni hewa, kuwakaliaa kooni wachimbaji madini wakubwa, kuzuia safari na vikao visivyo vya lazima,Kuhusu tozo za miamala ya simu mie bado nipo pamoja na mh. Raisi kwan amelazimika kutoka na hali halis aliyoikuta ya mtanguliz wake.
Tuvumilieni na tumpe matumaini na tumkosoe kwa staha kwakuwa yeye Ni binadam hataacha mapungufu ila sio matusi Kama wafavyo wahuni....
TCRA is sick for sure.. Need to consult medical check up the soonest[emoji23]View attachment 1856489
Swali: Mlikuwa wapi kuomba maoni kabla ya sheria? Hayo maoni yatasaidia nini kwa sasa
Asking dying experience from the dead![emoji2815][emoji2815][emoji2815][emoji2815][emoji848][emoji848][emoji2984][emoji2984][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Yaani wanamuuliza marehemu anajisikiaje kufa?Au angependelea afe kwa namna gani wakati ameshakufa?TCRA is the bunch of hooligans![emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Wanajiweka karibu na marehemu hao.Hawakawii kumsachi marehemu.Halafu wanamkuta marehemu ana tembe mbili za klorokwini mfukoni.😂😂😂😂😂Asking dying experience from the dead![emoji2815][emoji2815][emoji2815][emoji2815][emoji848][emoji848][emoji2984][emoji2984][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
.....Hawakawii kumsachi marehemu...[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanajiweka karibu na marehemu hao.Hawakawii kumsachi marehemu.Halafu wanamkuta marehemu ana tembe mbili za klorokwini mfukoni.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hili nalikubali si tu sababu ya Mimi kuwa member wa CCM bali Ni kutokana na uzalendo Niko nao katika kulipa Kodi ambayo baadae inaleta maendeleo kwa taifa letu.Mkuu wewe ni kada wa ccm, unadhani una utashi wa kukataa hata kama akilini mwako unajua kabisa sio sahihi?
Kilicho fanywa na serikali hakina tofauti na mfugaji aliekuwa na kuku anamtagia yai la dhahabu kila siku. Mfugaji alimchinja kuku akitumaini kupata mayai mengi kwa wakati mmoja. Mambo ya uchumi yana taratibu zake, ukiyapeleka kipolisi utakwama.Waziri kasema hawezi kubadiri tena nasisi tunasema tutawabadirisha wao personaly.
Hao wanataka watu watoe maoni halafu...CCM waliiba kura ili wawe na bunge linaloonea wanaowaita wanyonge.
Hapo unajidanganya, usitarajie matokeo ya kubashiri. The means determine the end.Kuhusu tozo za miamala ya simu mie bado nipo pamoja na mh. Raisi kwan amelazimika kutoka na hali halis aliyoikuta ya mtanguliz wake.
Tuvumilieni na tumpe matumaini na tumkosoe kwa staha kwakuwa yeye Ni binadam hataacha mapungufu ila sio matusi Kama wafavyo wahuni.
Haya mnayoyaona Sasa Ni matokeo ya mwendazake na lilikuwa Jambo la muda tu lazima yangetokea na nahis yangepita hapa.
Mama amekaa muda mchache ila ameleta matumaini makubwa kwa wananchi,tusimbeze badala yake tunpe muda tu hali itaimarika.