Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutawafata kwenye gongo na ulanzi.Hapo tutaanza kuuziwa K vant afu 40'000 na bia 5'000 inamana hapo tutaacha ulevi
Kwa aina ya jamii tuko nayo ni kuongeza wananchi mizigo. Kuna wapuuzi watazidi kufyatua kiholela.Ujinga tu( kutokujua mbinu sahihi), watu sijui lini watajifunza kubeba majukumu yao.
Ni ujamaa na kujitegemea, KUJITEGEMEA. Sio utegemezi wa kodi za wengine ndio zikatatue matatizo binafsi ya watu.
Kodi zijenge vitu vya jamii kiujumla wake. Kama mahospitali na mabarabara na mawasiliano. Sio kulipia bili binafsi za matatizo binafsi ya watu.
Mtakaobisha naomba niwakumbusje kuwa kikanuni (in principle) HAKI ndio huinua taifa, endeleeni kujidanganya kuwa HURUMA zitaliinua taifa. Hurumahuruma zikizidi zitalididimiza zaidi taifa zaidi. Tafuneni si mna akili.
Kipindi nipo mdogo, kodi nyingi zilitoka kwenye bandari, madini na utalii.Rubbish, kwanini madini yasigharamie?
Nyie ndiyo wale, mtu akiwa anaumwa hata hamna time naye ila akifa wa kwanza kununua majenezaKwa aina ya jamii tuko nayo ni kuongeza wananchi mizigo. Kuna wapuuzi watazidi kufyatua kiholela.
Sawaa ni maoni yako, una haki.Nyie ndiyo wale, mtu akiwa anaumwa hata hamna time naye ila akifa wa kwanza kununua majeneza
❌Sawaa ni maoni yako, una haki.
Ni masikitiko,Kwa aina ya jamii tuko nayo ni kuongeza wananchi mizigo. Kuna wapuuzi watazidi kufyatua kiholela.
Aliyeleta hii kodi alanwe pamoja na kizazi chakeMpaka hapo Kodi ya miamala imegeuzwa kuwa chanzo rasmi Cha Kodi
Likiweka bima basi hao wananchi ndio walipie hizo bima zaidi sio kodi.Una maana kila mtu abebe msalaba wake mwenyewe, basi bunge lisitishe mjadala wa bima kwa wote.
Serikali inakosea sana kwa kweli kutukata kodi ili zilipie wwvivu na walevi inatakiwa swala la bima ya afya liwe swala la mtu binafsi ili awe na nidhamu na ya matuimiz yakeUjinga tu( kutokujua mbinu sahihi), watu sijui lini watajifunza kubeba majukumu yao.
Ni ujamaa na kujitegemea, KUJITEGEMEA. Sio utegemezi wa kodi za wengine ndio zikatatue matatizo binafsi ya watu.
Kodi zijenge vitu vya jamii kiujumla wake. Kama mahospitali na mabarabara na mawasiliano. Sio kulipia bili binafsi za matatizo binafsi ya watu.
Mtakaobisha naomba niwakumbusje kuwa kikanuni (in principle) HAKI ndio huinua taifa, endeleeni kujidanganya kuwa HURUMA zitaliinua taifa. Hurumahuruma zikizidi zitalididimiza zaidi taifa zaidi. Tafuneni si mna akili.
ila Mbeghe na Kyindi na Kihambule havimo. Cha Msingi ni Kutafuta kiki tuHapo tutaanza kuuziwa K vant afu 40'000 na bia 5'000 inamana hapo tutaacha ulevi
Mbombo jilipo mzeeila Mbeghe na Kyindi na Kihambule havimo. Cha Msingi ni Kutafuta kiki tu
ccm ni wasanii madini wanachumia matumbo yaoRubbish, kwanini madini yasigharamie?
Wanalipa wenza lakini matibabu wanategemea kwenye pombeccm ni wasanii madini wanachumia matumbo yao