Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Wafute pia gharama ya kutumia mobile bank.
Huna Salio kwenye simu huwezi pata huduma za kibank huu ni upuuzi mtupu hakuna sehemu yeyeto duniani.
Nimeishiwa Salio kwenye simu nataka ninunue Salio bank Ili nipate Salio kwenye simu eti ni lzm niwe na Salio kwenye simu huu ni upuuzi mtupu
Hilo la makampuni ndio nilikuwa nalitaka , yaani nafanya miamala afu pesa kubwa wanachukua hao makampuni majizi yanatuibia vifurushi,dkk yaani nilikuwa willing pesa yangu iende serikali sio kwa hao wezi.MAMBO MATATU ALIYOYAFANYA RAIS SAMIA KWENYE TOZO ZA E-MONEY,
___________________________
1. Kupunguza tozo za miamala ( e-money) kwa 30%
2. Kushawishi makampuni ya e-money na wao kushusha makato yao kwa 10%,
3. Kuendelea kuwa msikivu kwa kushughulikia kero za wananchi kwa haraka,
NB, Hili punguzo linamaana gani ?!
Katika kila shilingi tuliyokatwa awali ni senti 60 tu ndio itachukuliwa na mwanachi Mama amemrudishia|amembakishia senti 40 katika kila muamala anaofanya,
Kama awali ulikatwa Tshs 10,000 Leo utakatwa Tshs 6,000 tu huku Tshs 4,000 Mama akiirudisha|akiibakisha kwako.
...Kazi iendelee | Mama ni habari nyingine ...View attachment 1919029
Huu ujuha haupo,kodi unatozwa kadiri ya matumizi yako,hiyo ndio fair sio upuuzi unaousemeaHuyu maza angeweka tozo ya shilingi 500 kila muamala ilikuwa tosha kabisa badala ya hii biashara yao na Mwigulu
Issue "tozo" haikubaliki! Hii ni unyonyaji kwa watu wanyoge. Utaratibu wa kodi uendelee, ila tozo by all discriptions haikubaliki. Toka nyerere mpaka mwendazake maendeleo makubwa yamefanyika kwa utaratibu wa kodi. Hili la TOZO hapana hapana. No NO NONo NO NO!!!MAMBO MATATU ALIYOYAFANYA RAIS SAMIA KWENYE TOZO ZA E-MONEY,
___________________________
1. Kupunguza tozo za miamala ( e-money) kwa 30%
2. Kushawishi makampuni ya e-money na wao kushusha makato yao kwa 10%,
3. Kuendelea kuwa msikivu kwa kushughulikia kero za wananchi kwa haraka,
NB, Hili punguzo linamaana gani ?!
Katika kila shilingi tuliyokatwa awali ni senti 60 tu ndio itachukuliwa na mwanachi Mama amemrudishia|amembakishia senti 40 katika kila muamala anaofanya,
Kama awali ulikatwa Tshs 10,000 Leo utakatwa Tshs 6,000 tu huku Tshs 4,000 Mama akiirudisha|akiibakisha kwako.
...Kazi iendelee | Mama ni habari nyingine ...View attachment 1919029
Naona unavizia teuziMAMBO MATATU ALIYOYAFANYA RAIS SAMIA KWENYE TOZO ZA E-MONEY,
___________________________
1. Kupunguza tozo za miamala ( e-money) kwa 30%
2. Kushawishi makampuni ya e-money na wao kushusha makato yao kwa 10%,
3. Kuendelea kuwa msikivu kwa kushughulikia kero za wananchi kwa haraka,
NB, Hili punguzo linamaana gani ?!
Katika kila shilingi tuliyokatwa awali ni senti 60 tu ndio itachukuliwa na mwanachi Mama amemrudishia|amembakishia senti 40 katika kila muamala anaofanya,
Kama awali ulikatwa Tshs 10,000 Leo utakatwa Tshs 6,000 tu huku Tshs 4,000 Mama akiirudisha|akiibakisha kwako.
...Kazi iendelee | Mama ni habari nyingine ...View attachment 1919029
Unajua nini na wewe mpuuziHuu ujuha haupo,kodi unatozwa kadiri ya matumizi yako,hiyo ndio fair sio upuuzi unaousemea
Hiyo ni income unayo na anapokea so kodi lazima.Kwani remittances huwa hazikatwi kodi?Kumtumia bibi yako pesa kijijini hapo unakuwa umefanya biashara gani na umetengeneza faida kiasi gani ili ukatwe kodi. Kimsingi makampuni ya simu ndo yanayofanya biashara kwenye hizi transactions maana wanakata kiasi cha pesa. Sasa hii kodi tunayokatwa na serikali ambayo imebatizwa jina la tozo mantiki yake ni ipi hasa......waache kulaghai watu kwa ujanja ujanja, eti tumepunguza tozo kwa 30%...
Download app hutotumia gharama zaidi ya MB zakoWafute pia gharama ya kutumia mobile bank. Huna Salio kwenye simu huwezi pata huduma za kibank huu ni upuuzi mtupu hakuna sehemu yeyeto duniani. Nimeishiwa Salio kwenye simu nataka ninunue Salio bank Ili nipate Salio kwenye simu eti ni lzm niwe na Salio kwenye simu huu ni upuuzi mtupu
Hata buku.Huyu maza angeweka tozo ya shilingi 500 kila muamala ilikuwa tosha kabisa badala ya hii biashara yao na Mwigulu
KabisaHata buku.
Ameenda kuzijaza kwenye mafuta1. Kupunguza tozo za miamala ( e-money) kwa 30%
2. Kushawishi makampuni ya e-money na wao kushusha makato yao kwa 10%,
3. Kuendelea kuwa msikivu kwa kushughulikia kero za wananchi kwa haraka,
Uzi kama huu unashushaa hadhi ya mtu na kuonesha jinsi uwezo wa kudadavua mambo ulivyo chini ya kiwango...
Tena kubwa kabisaHuyu maza angeweka tozo ya shilingi 500 kila muamala ilikuwa tosha kabisa badala ya hii biashara yao na Mwigulu