CHIEF MASALAKULANGWA
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 794
- 648
"SISI" ni akina nani nyie mliokuwa hamzitaki kabisa hizo TOZO? Wala tusihangaike kutafuta majibu mbali - ninyi ni wapinga maendeleo mliozoea DEZO katika maisha yenu! Mimi nawafananisha nyie na TOBO na huyo mwingine aliyeko Kanada ambako wanakaa na kulishwa tu kama MALKIA WA NYUKI. Si mnajua kazi ya Malikia wa Nyuki na nini huwa kinamtokea meishoni!? DEZO ni utumwa in disquise jamani!Sisi tulikua hatuzitaki kabisa hizo TOZO
Sisi tulikua hatuzitaki kabisa hizo TOZO
Hapana. Tozo zifutwe kabisa. Huu ni unyang'anyi. "Double taxation: On capital employed and on profit realized".Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesaini marekebisho ya Kanuni za Tozo za Miamala ya kutuma na kutoa Fedha na kupunguza viwango vya tozo kwa 30%
Pia Serikali imejadiliana na watoa huduma za simu ambao nao wameridhia kupunguza viwango vya tozo wanazotoza kati ya mtandao na mtandao mwingine kwa 10%
Viwango vilivyopunguzwa vitatangazwa rasmi Septemba 01, 2021
Taarifa Kamili:
Kwa hiyo hapa alikuwa anadnganya umma?Hahaha elimu ni tatizo hufahamu kuna kitu kinaitwa kanuni? Ndio maana kuongoza watanzania ni kazi watu hamjisomei unakariri tu, waziri apo kabadilisha kanuni
Wananchi!!Wewe ni mpambe wa nani?
Mkuu una akili timamu?MAMBO MATATU ALIYOYAFANYA RAIS SAMIA KWENYE TOZO ZA E-MONEY,
___________________________
1. Kupunguza tozo za miamala ( e-money) kwa 30%
2. Kushawishi makampuni ya e-money na wao kushusha makato yao kwa 10%,
3. Kuendelea kuwa msikivu kwa kushughulikia kero za wananchi kwa haraka,
NB, Hili punguzo linamaana gani ?!
Katika kila shilingi tuliyokatwa awali ni senti 60 tu ndio itachukuliwa na mwanachi Mama amemrudishia|amembakishia senti 40 katika kila muamala anaofanya,
Kama awali ulikatwa Tshs 10,000 Leo utakatwa Tshs 6,000 tu huku Tshs 4,000 Mama akiirudisha|akiibakisha kwako.
...Kazi iendelee | Mama ni habari nyingine ...View attachment 1919029
Rais Mkapa the best tz president though alikuwa mbabe kwa wapinzani haswa Wapemba. Aliziondoa kodi zote za kijinga na kuziita zenye "maudhi" na raia tukaanza kuona raha kuzaliwa tz. Ina maana za Mkapa zilikuwa hazijapitishwa na bunge?Kwa hiyo aliposema kuwa yeye kama waziri hana uwezo wa kuzibadilisha tozo kwa vile zimepitishwa na Bunge alikuwa anadanganya umma?
Dr Mwigullu: Bajeti ikishapitishwa na bunge ni Sheria, sitaweza kubadili chochote kwenye Tozo!
Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema bajeti ikishapitishwa na bunge inakuwa ni sheria hivyo waziri hana nguvu ya kufuta wala kubadili chochote Dr Mwigullu atakuwa hewani siku ya Jumatatu katika kipindi cha Dakika 45 ITV akizungumzia mambo mbalimbali ikiwemo Chanjo ya Corona, bei ya...www.jamiiforums.com
Huna unalojua, subirini tu muda wenu utafika kuni ziwawakie....Ndio na nyie mlipe kodi kwa income zenu hizo.Hii kodi uwe mfanyakazi au mkulima ni unalipa.
Wafanyakazi wanakatwa kwa sababu ni rahisi kuwakata sio nyie mnaokwepa kodi
HopelessTOZO ZA MIAMALA RAFIKI KWA WANANCHI
Hakika Serikali ya Awamu ya Sita ina uongozi sikivu na madhubiti wenye kujali wananchi wake kwa kuhakikisha huduma za kijamii na miundombinu safi inapatikana.
Katika kufanikisha hilo serikali mwanzoni mwa mwaka wa fedha 2021/2022 ilileta tozo katika miamala ya simu nankukusanya Bilioni 63 hadi sasa zinazoelekezwa katika kutekeleza miradi mbalimbali.
Baada ya kuanza kwa tozo hizo wananchi walikuwa na mapokeo tofauti, lakini kutokana na imani yao kwa serikali wakapaza sauti kuiomba serikali kupunguza viwango vya makato ya tozo ili kuwapa wepesi wa gharama za maisha.
Ni dhahiri Rais wetu mzalendo na mpenda maendeleo mwenye moyo wa mama alilipokea na kuunda kamati iliyofanyia kazi maombi ya wananchi. Na sasa kazi nzuri iliyofanywa na kamati hatimaye imezaa matunda na kuleta faraja kwa wananchi.
Vifijo na nderemo vimetawala kila kona ya nchi wakifurahia kupunguzwa kwa viwango vya tozo. Wnanchi wanatarajia maendeleo ya huduma nzuri na miundombinu safi inatakayotekelezwa kutokana na makato ya tozo hizo.
Hongera sana Mama la Mama #SamiaSuluhuHassan
Kwani hizo TOZO zilianzishwa na nani?Hakika serikali ya awamu ya sita ina uongozi sikivu na madhubiti wenye kujali wananchi wake kwa kuhakikisha huduma za kijamii na miundombinu safi za kutolia huduma zinakuwepo.
Katika kufanikisha hilo serikali mwanzoni mwa mwaka wa fedha 2021/2022 ileta tozo katika miamala ya simu ilikukusanya pesa ya kutekeleza miradi hiyo ili kufanikisha azma yake.
Baada ya kuanza kwa tozo hizo wananchi walikuwa na mapokeo tofauti, lakini kutokana na imani ya wananchi kwa serikali wakapaza sauti kuiomba serikali kupunguza viwango vya makato ya tozo, ili kuwapa wepesi wa gharama za maisha.
Nidhahiri Rais wetu Mzalendo mpenda maendeleo alilipokea na kuunda kamati iliyofanyia kazi maombi ya wananchi na sasa kazi nzuri iliyofanywa na kamati hatimaye imezaa matunda na kuleta faraja kwa wananchi.
Vifijo na ndelemo vimetawala kila kona ya nchi wakifurahia kupunguzwa kwa viwango vya tozo wananchi wanatarajia maendeleo na huduma nzuri na miundombi inatakayotekelezwa kutokana na makato ya tozo hizo.
Rais Mkapa the best tz president though alikuwa mbabe kwa wapinzani haswa Wapemba. Aliziondoa kodi zote za kijinga na kuziita zenye "maudhi" na raia tukaanza kuona raha kuzaliwa tz. Ina maana za Mkapa zilikuwa hazijapitishwa na bunge?