Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Dawa ya moto ni moto , Hata kama ni hatari lakini hakuna jinsi .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Just live your life. Wewe kama umeona hayo makato ni madago, mwenzio kwa hesabu zake kaona ni makubwa kutokana na miamala anayofanya.usishindane na teknolojia utaumia wewe mku.
kubali yaishe utakuja kuuwawa na majambazi buree eti kwa ajili ya kukwepa kukatwa sh.1500 au 2500!!!
sasa kweli hiyo ni akili?!
Utakufa wewe kwa mawazo na njaa zako,ongeza na kato chanzo cha maradhi yasiyoisha bure.usishindane na teknolojia utaumia wewe mku.
kubali yaishe utakuja kuuwawa na majambazi buree eti kisa ulikuwa unakwepa kukatwa sh.1500 au 2500!!!
sasa kweli hiyo ni akili?!
Yanafurahisha.Vodacom na yajayo.
Unahakika mrukarukaVijana wa CHADEMA kwa mihemkoooo🤣🤣🤣
Pesa zenyewe ni mali ya serikali hiyo hiyo unayojifanya unaikwepa
Acha kuruka ruka wewe fambaVijana wa CHADEMA kwa mihemkoooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pesa zenyewe ni mali ya serikali hiyo hiyo unayojifanya unaikwepa
ni wapi ?Mbona sio Tz