kitowowoti
JF-Expert Member
- Feb 25, 2016
- 756
- 510
Haijawahi fedha kama fedha ikawa mali au bidhaa,ndiyo maana mahali pengi miamala inayohusiana na fedha husamehewa kodi.Vijana wa CHADEMA kwa mihemkoooo🤣🤣🤣
Pesa zenyewe ni mali ya serikali hiyo hiyo unayojifanya unaikwepa