Tozo za miamala : Wananchi wajibu mapigo waamua kusafirisha pesa zao wenyewe

Tozo za miamala : Wananchi wajibu mapigo waamua kusafirisha pesa zao wenyewe

Vijana wa CHADEMA kwa mihemkoooo🤣🤣🤣

Pesa zenyewe ni mali ya serikali hiyo hiyo unayojifanya unaikwepa
Haijawahi fedha kama fedha ikawa mali au bidhaa,ndiyo maana mahali pengi miamala inayohusiana na fedha husamehewa kodi.
 
Mbona unawakaribisha trafiki na wao watoze kodi zao mkuu, Erythro!

Lakini hii ni pesa? Haina mvuto kabisa kwa kuiangalia ilivyo wekwa hapo!
 
usishindane na teknolojia utaumia wewe mku.
kubali yaishe utakuja kuuwawa na majambazi buree eti kisa ulikuwa unakwepa kukatwa sh.1500 au 2500!!!
sasa kweli hiyo ni akili?!
Hutumi miamala kama tufanyavyo mkuu , hizi gharama si za kitoto , leo nimelipa laki unusu kwa watu 10 tofauti kupitia Tigo pesa , kila niliyemtumia kwa wakala wa karibu yake nimelimwa 6,180 , hii zidisha mara 10 ni zaidi ya elfu 60 , kabla ya hii ilikuwa almost 36,000 tu , na haya ni malipo nafanya kila baada ya wiki
 
"Nani Kama mamaaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]"

Ilisikika nyimbo ikiimba
 
Mjinga mmoja aliwah kusikika akisema atakusanya kodi kisayansi.ndio madhara ya kuwapa vilaza wizara.hapo ndio unapata tofauti kubwa kati ya Elimu na akili.
 
Bora kuchukua ubber kufuata pesa aisee.
Ukiniomba pesa njoo na usafiri wako uzifuate mwenyewe
 
Mjinga mmoja aliwah kusikika akisema atakusanya kodi kisayansi.ndio madhara ya kuwapa vilaza wizara.hapo ndio unapata tofauti kubwa kati ya Elimu na akili.
Bora hii wizara angempa mchaga aisee huyu msingida na pesa wapi na wapi
 
Mm nimenunua shuka la elfu 5 na daftari za elfu 6 nikaweka mil 2 zangu humo nikafunga vizuri halafu nimetuma kama kifurushi (parcel) kijijini kwetu kwa basi. Wenye basi wamenitoza elfu 8 tu na zimefika salama kabisa.

Nilipaswa kupotezaa 64,000/= lkn kwa njia hii nimetumia 19,000/= tu nimeokoa hela nyingi Sana.
Na chenji imebaki hongera kwa ubunifu
 
Atushindwi ubunifu unaweka pesa kwenye box la dawa au ndani ya box la pedi unampa dereva apeleke kijijini mzigo unafika salama kabisa.
 
Hii ni kodi mpya kabisa, eti inaitwa kodi ya Uzalendo.....uzalendo upi?
 
Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
usishindane na teknolojia utaumia wewe mku.
kubali yaishe utakuja kuuwawa na majambazi buree eti kisa ulikuwa unakwepa kukatwa sh.1500 au 2500!!!
sasa kweli hiyo ni akili?!
🤣👍👍
 
Back
Top Bottom