Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Huo ukabila unaouhimiza hapa umeanza lini ?!!🤣Bora hii wizara angempa mchaga aisee huyu msingida na pesa wapi na wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ukabila unaouhimiza hapa umeanza lini ?!!🤣Bora hii wizara angempa mchaga aisee huyu msingida na pesa wapi na wapi
ni mjinga pekee na masikini wa kutupwa atakubali kurisky maisha yake kwa sababu ya tozo mpya
🤣Vijana wa CHADEMA kwa mihemkoooo🤣🤣🤣
Pesa zenyewe ni mali ya serikali hiyo hiyo unayojifanya unaikwepa
Jamani mbona harusi, kitchen party na sherehe nyingine tunachangia. Uzalendo na mshikamano wa harusi upo lakini wa maendeleo ya nchi hakuna! Ajabu kubwa.usishindane na teknolojia utaumia wewe mku.
kubali yaishe utakuja kuuwawa na majambazi buree eti kisa ulikuwa unakwepa kukatwa sh.1500 au 2500!!!
sasa kweli hiyo ni akili?!
Shida yote hiyo ya nini. Poor serving strategyMm nimenunua shuka la elfu 5 na daftari za elfu 6 nikaweka mil 2 zangu humo nikafunga vizuri halafu nimetuma kama kifurushi (parcel) kijijini kwetu kwa basi. Wenye basi wamenitoza elfu 8 tu na zimefika salama kabisa.
Nilipaswa kupotezaa 64,000/= lkn kwa njia hii nimetumia 19,000/= tu nimeokoa hela nyingi Sana.
Kimsingi bado ni mapema mno kulalamikia kodi hizi bila kuona athari zake tuone kwanza utekelezaji wake mwaka huu wa fedha faida na hasara zake.lets wait &seeHaijawahi fedha kama fedha ikawa mali au bidhaa,ndiyo maana mahali pengi miamala inayohusiana na fedha husamehewa kodi.
Ni akili lakini si akili iliyotuliausishindane na teknolojia utaumia wewe mku.
kubali yaishe utakuja kuuwawa na majambazi buree eti kisa ulikuwa unakwepa kukatwa sh.1500 au 2500!!!
sasa kweli hiyo ni akili?!
Watawala wamelewa madaraka na wanatenda kwa utashi wao na sio kwa matakwa ya wananchi
Atushindwi ubunifu unaweka pesa kwenye box la dawa au ndani ya box la pedi unampa dereva apeleke kijijini mzigo unafika salama kabisa.