Tozo zatinga kwenye mabenki, kuanza kukusanywa Septemba 8, 2021

Mbona wanakata tokea tozo zitangazwe... NMB nina experience nayo kwenye hili
 
Jenga nchi acha malalamiko kijana
 
Mama yenu huyo, mlishangilia kifo cha pjm mtamkumbuka, sasa hivi ni mwendo wa kuzurula tozo ni mwendo wa safari. Mlivyokuwa wajinga mnashangilia.
 
Kwenye maji mmesahau? Wekeni tozo tunapolipia bill za maji.
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… walishabikia kuongezwa elfu 50 kwenye mshahara? Upuuzi mtupu
 
Hamia nchi masikini zaidi ya Tanzania kama unataka unafuu wa kodi na tozo...
Ndiyo faida ya kuwa nchi yenye wananchi mafala. Viongozi wanatumbua na wananchi wanakamuliwa! Tutakiona cha mtema kuni kama hatutakuwa wakali.
 
Ndani ya MUDA MFUPI UJAO watanzania watayaona MABADILIKO MAKUBWA MNO KIJAMII NA KIMAENDELEO.....

Majibu ya hizi TOZO yatawashangaza haswa na wataielewa VYEMA serikali sikivu ya AWAMU YA 6....ni muda tu.....

#SiempreJMT
#TozoKwaMaendeleoYetuWenyewe
 
Tatizo sio kulipa kodi ambayo ilikuwa tayari inalipwa kisheria kama VAT ila wameona haitoshi wameleta kitu Tozo ok utasema nalo sawa sio tatizo lakini shida inakuja kiwango ni kikubwa sana unaweza ukasema ok sawa tatizo sio kiwango tu muamala huo mmoja unalipiwa tozo mara 4 sijui mpaka ukimfikia mlengwa ni almost 17% huu ni wizi wa wazi kabisa. Watu bado maskini sana serikali kama kweli walikuwa wana nia njema basi muamala mmoja ungelipiwa labda na mtumiaji tu sio anayepokea na kutoa tena huu ni ujangili. Badala ya kujikita kuongeza mzunguko wa pesa kwa wananchi ndio kwanza wanawabana kila leo eti tunajenga madarasa sijui zahanati kwa gharama ya kuuwa sector muhimu ya pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…