JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
TP Mazembe imeendelea kufanya vibaya katika Kombe la Shirikisho Afrika, ikiwa nyumbani imefungwa magoli 2-0 dhidi ya US Monastir ya Tunisia.
Mechi inayofuata ya Kundi D ni Real Bamako ya Mali dhidi ya Yanga.
Mechi inayofuata ya Kundi D ni Real Bamako ya Mali dhidi ya Yanga.