TP Mazembe rasmi waaga mashindano ya Klabu Bingwa CAF, Yanga SC na hesabu za Calculator kufuzu Robo Fainali

TP Mazembe rasmi waaga mashindano ya Klabu Bingwa CAF, Yanga SC na hesabu za Calculator kufuzu Robo Fainali

Hesabu bado ziko wazi tusiwe watabiri njaa Uto Mechi muhimu kabisa ni ya Leo ni lazima ashinde hamna hamna apate draw kuweka matumaini kipigo kwao itakuwa shughuli kwishnei na tunatangaza msiba ila mwili utakaa mortuary mpaka undertaker MS Alger atakaputua Kwa Mkapa kukamikisha Mazishi.

Uwezo wanao uamuzi ni wao.
 
UTO anapita kwenye hili kundi akiweza kupata sare ya aina yoyote kwenye mechi ya kesho.
Kupata ushindi wa 2-0, 3-1 ... katika mchezo wa mwisho kwa Mkapa uwezo huo upo.
 
Wakiwa kambini huku wakiomba dua na kuchoma ubani wengine wakiimba tenzi za rohoni, usinipite mwokozi kuiombea dua TP Mazembe iifunge MC Alger mambo yakaenda kinyume

Mmoja wa viongozi wa Yanga aliangua kilio kulichoambatana na kwikwi akijua safari imeishia hapo na morali ya wachezaji imepotea ghafla.

Tuwaombee
🤣🤣🤣 dah!
 
Wakiwa kambini huku wakiomba dua na kuchoma ubani wengine wakiimba tenzi za rohoni, usinipite mwokozi kuiombea dua TP Mazembe iifunge MC Alger mambo yakaenda kinyume

Mmoja wa viongozi wa Yanga aliangua kilio kulichoambatana na kwikwi akijua safari imeishia hapo na morali ya wachezaji imepotea ghafla.

Tuwaombee
Wewe ulikuwepo huko kambini ???
 
Wakiwa kambini huku wakiomba dua na kuchoma ubani wengine wakiimba tenzi za rohoni, usinipite mwokozi kuiombea dua TP Mazembe iifunge MC Alger mambo yakaenda kinyume

Mmoja wa viongozi wa Yanga aliangua kilio kulichoambatana na kwikwi akijua safari imeishia hapo na morali ya wachezaji imepotea ghafla.

Tuwaombee
upo nao kambini sio?
 
Wakiwa kambini huku wakiomba dua na kuchoma ubani wengine wakiimba tenzi za rohoni, usinipite mwokozi kuiombea dua TP Mazembe iifunge MC Alger mambo yakaenda kinyume

Mmoja wa viongozi wa Yanga aliangua kilio kulichoambatana na kwikwi akijua safari imeishia hapo na morali ya wachezaji imepotea ghafla.

Tuwaombee
Nani alikipandisha mtini hicho kilio hadi wakiangue?
 
Back
Top Bottom