Sahihi kabisaTP Mazembe iliwagharimu muda gani kufikia maendeleo hayo ikiwa kama kampuni?
2021 GSM investment : 2023 Success = CAFCCL Final & 2024 CAFCL Quarter Final with consecutive NBC PL trophies 3 times, FA Cup 2021/2022 & 2022/2023 and continuing to chase FA Cup 2023/2024.
Big investment with a lot success in the short time period.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
They have come to share experience“Tumepokea ugeni mzito kutoka moja ya Klabu kubwa Barani Afrika, TP Mazembe ya DR Congo ambao wamevutiwa na namna Klabu yetu ya Yanga inavyoendeshwa hivyo wamekuja hapa Tanzania kujifunza mambo mbalimbali kwenye Mfumo wetu wa Mabadiliko ya Uendeshaji" Simon Patrick, Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga SC.
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
Je Kuna ukweli kuwa Yanga ndio workshop ya soka hapa Afrika???
HahahahahaDah hao Tp nao mafala sasa unakuja kujifunza kwa mtu ulie mpita kimaendeleo ...au wameletwa na GSM.Kama kweli wamekuja kujifunza yanga itakua ni kichekesho.
Hata wale wengine wanatamani sana kufundishwa Team Management lakini hawataki kusema...waache wafe nalo“Tunafuraha kubwa kufika hapa, ni heshima kubwa kwetu na tumefurahi kwa mapokezi mazuri mliyotupatia, tumekuja hapa kujifunza mambo mbalimbali kuhusu Yanga na kutengeneza urafiki mzuri utakaoweza kuvisaidia vilabu vyetu hivi viwili bora Afrika Mashariki na kati hivi sasa" Frederic Kitengie, CEO TP Mazembe.
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwikoView attachment 2990124
Hahahahaha...Iko hivi kwa Timu kama Tp Mazembe ambayo kiasili ilikua ni timu ya kanisa...pale Lubumbashi haina wanachama wengi kutokana na maisha ya kongo..ila ina mashabiki na wapenzi wengi na hata hivyo kwa idadi ya mashabiki wanazidiwq na mahasimu wao FC Lupopo ..Kwa hesabu za Katumbi kajifunza kupitia yanga ,pamoja ya kuwa na makombe mengi ila hana nguvu kivile ktk mashabiki na wanachama walio sajiliwq ..Wengine tulishasema ni kiasi cha muda tu Yanga kufika katika kilele cha soka Afrika na kila mmoja ataliimba jina letu.
Katika suala la wanachama si Mazembe tu watakuja wengi mno hamtoaminiHiki ni kichekesho, yani wafundishwe namna ya kutembeza mlungula na kuvunja kihuni mikataba ya wachezaji?
Haya ni mafanikio ya kipumbafu, kwani utopolo wametumia mda gani kufikia huto tufanikio ulitotuorodhesha hapo?TP Mazembe iliwagharimu muda gani kufikia maendeleo hayo ikiwa kama kampuni?
2021 GSM investment : 2023 Success = CAFCCL Final & 2024 CAFCL Quarter Final with consecutive NBC PL trophies 3 times, FA Cup 2021/2022 & 2022/2023 and continuing to chase FA Cup 2023/2024.
Big investment with a lot success in the short time period.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Mazembe haina database kubwa ya wanachama waliosajiliwa ndio kilicho waleta kujifunza hilo ukiacha hayo mengine...pamoja na ukubwa wao Mazembe anazidiwq mashabiki pale lubumbashi na Fc lupopo ..TP Mazembe iliwagharimu muda gani kufikia maendeleo hayo ikiwa kama kampuni?
2021 GSM investment : 2023 Success = CAFCCL Final & 2024 CAFCL Quarter Final with consecutive NBC PL trophies 3 times, FA Cup 2021/2022 & 2022/2023 and continuing to chase FA Cup 2023/2024.
Big investment with a lot success in the short time period.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Naskia pia Yanga wanatawi kule KongoHahahahaha...Iko hivi kwa Timu kama Tp Mazembe ambayo kiasili ilikua ni timu ya kanisa...pale Lubumbashi haina wanachama wengi kutokana na maisha ya kongo..ila ina mashabiki na wapenzi wengi na hata hivyo kwa idadi ya mashabiki wanazidiwq na mahasimu wao FC Lupopo ..Kwa hesabu za Katumbi kajifunza kupitia yanga ,pamoja ya kuwa na makombe mengi ila hana nguvu kivile ktk mashabiki na wanachama walio sajiliwq ..
Katika sula la wanachama na mashabiki kujisajiri Yanga itawafundisha wengi
Hahahahaha,tatizo la hao wengine wanajionaga na akili ila wakizidiwa ndio km hvHizo hasira mngempeleka mudi ....mngekuwa mbali sana [emoji23]
HakikaMficha maradhi...kifo humuumbua
Yes wana tawi lubumbashi, kumbuka ili uwe na tawi Yanga mnatakiwa muwe wanachama hai msiopungua 50+Naskia pia Yanga wanatawi kule Kongo
Pia Kuna kipindi clip ilitrend ....wakongo wanaomba msaada Kwa eng hersi