TPA madudu matupu, PSSSF imefilisika, NSSF haina fedha, TASAC ubadhirifu mtupu sasa hawa CHADEMA wanapigana na Ufisadi gani?

Shujaa wa africa
 
Hiko chama kishajifia mkuu, unawaonea bure.
 
Mtu wa ajabu sana.CHADEMA ndiyo wamefilisi mifuko.Ingekuwa thread mzuri usingetia mawazo dhaifu ya ukada.
 
Mbona boss wa Pssf hajatumbuliwa?
 
Mods futeni huu uzi au uunganisheni na ule uzi wa Hotuba ya Rais ya kuapisha Makatibu Wakuu.

Punguzeni threads za kipuuzi hapa JF maana tunashusha heshima ya Jukwaa.

@Invinsible
 
Mwamkinga mzee wa data ni hatari sana.
 
Muulize mwendazake alijinasibu anapambana na rushwa anafungia vyombo vinavyoandika Wala rushwa,alificha hasara ATCL.
Rushwa,unyonge,umaskini vimezalishwa na CCM mwenda zake ni sehemu ya yote haya.
Wateule wa CCM ndio wanaongoza mikataba ya kifisadi.
 
Nimependa hii "fasihi" yako.

Ila wale wafuasi wa "yesu" wa Tz wamekuelewa? Btw, hivi Kangi Lugola yupo wapi?
 
Great Thinkers washakuelewa bwashee Ngugi wa Thiong'o
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…