TPA madudu matupu, PSSSF imefilisika, NSSF haina fedha, TASAC ubadhirifu mtupu sasa hawa CHADEMA wanapigana na Ufisadi gani?

Kwani madarakani kilikuwepo Chama gani mkuu??
Nauliza tu
 
Msamehe tu hajanywa chai asubuhi
 
Meza dawa zako uachane na kuandika upumbavu Bwashee hata yaliyowakuta Wabunge wa Chadema bungeni kuanzia 2015 dishi limeyumba halikumbuki kitu 😂😂😂😂😂😂😂
Hawa akina Silinde na Cecil Mwambe walifanywa nini bungeni?
 
Usiwe lipumbavu wewe,aliyekuwa anawateua majangili na wezi ni Chadema?
Yule Mungu wenu ndio alishikilia kila kitu, alituzuga kwa kufoka na vitisho kumbe wanakula keki ya Taifa na genge lake.
Tumia akili acha kutumia masabuli
 
Usiwe lipumbavu wewe,aliyekuwa anawateua majangili na wezi ni Chadema?
Yule Mungu wenu ndio alishikilia kila kitu, alituzuga kwa kufoka na vitisho kumbe wanakula keki ya Taifa na genge lake.
Tumia akili acha kutumia masabuli
Hahahaaaa....... Umenikumbusha Dr Slaa!
 
Chadema walifungwa mdomo Siku nyingi. Nani angewasikia au kuwasikiliza?
 
Jitahidi kutoka taarifa sahii kaka,taarifa zilizopo ni 600 millions karibu billion moja
 
Sasa wanafanya kazi gani?
Mkuu si ulisema Jiwe aliwaua wapinzani wote? Mara hii umeshalisahau hil[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Kweli wewe ni taga na nusu lakini unayejielewa, mtu akiingia kichwa kichwa huwezi kujua nini unamaanisha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mitano tena

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Bwashee umeamua kutumia tafsida na mafumbo ambayo fika pale Lumumba hakuna anayeweza kuelewa😀😀

Btw, muhimu Kuwa na Taasisi Imara amabazo hata kama viongozi wanabarika ufanisi na ufisadi hautakwepo kama sio kupungua kabisa.

Muhimu alichoweza kukifanya kwa weledi mwendazake ni eneo la Propaganda pamoja na kuua taasisi muhimu kama CAG na Bunge🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…