jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Hao chawa wa sa100 hawanaga akili na wana hawawezi kuhoji..wanapewaga script kazi yao ni kukariri tu.Bandari ya Mtwara au huo mkataba namna gani unaongeza huo uzarishaji kutoka 15000 to 43000 kwenye hicho kiwanda cha Dangote...? Muandishi hebu tuweke sawa hapo..
Hicho kiwanda, installed capacity ni 6000ton per day, malighafi kwa kiasi kikubwa inapatikana hapo hapo Mtwara, Coal wanapata songea japo kwa sasa wanatumia Gas ambayo iko hapo hapo mtwara....Hebu tuambieni hiyo bandari itaongeza vipi huo uzarishaji?
Kimsingi gharama za maisha zimepanda sana na zina panda kila uchwao..serikali haiji na majibu badala yake inakuja na vichaka vya kujifichia..mara kovidi19 mara vita vya ukrain na urusi..sijui vikiisha watakuja na ngojera gani.
Inasikitisha sana.
#MaendeleoHayanaChama