Yaleyale ya Chato yanajirudia,Halafu jeshi letu lipo bize kutafuta Leso zenye mabaka mtaani ili wakae nazo wao.
Kwa ufadhili wa nani
Weka taarifa sawa, jana nimefuatilia tukio hilo, na ni wadau wa maendeleo kwa umoja wao ndio watakaojenga uwanja huo wa kisasa, ambao pamoja na vingi utakuwa na viwanja vitatu vya mpira, jengo la mazoezi, viwanja vya mpira wapete, mkono, mabwawa ya kuogelea etc
Na wadau hao ni benki zaidi ya tano nmb, crdb,azania,nbc,Equity na mashirika kama Tanroads, Tanesco, TPA huku wakiahidi kuwa wadau wengine wataungana nao baadae
Ukisema TPA peke yake unamislead watu for no reason!, Anaehitaji taarifa zaidi na uwanja ulivyo afuatilie streaming ya live ya jana ya Ikulu kule Youtube, imeelezea kwa kina na ilisomwa na Nsekela wa CRDB mbele ya Rais Samia
Mbona mlisema TPA haipati faida kwa sababu ya wezi wanaofanya kazi humo mpaka mkaamua kumpa bandari DPW. Sasa nauliza hivi: Hizo fedha za kujenga uwanja zinatoka wapi? Mtuambie pia kama hao wezi wameshazirudisha.Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka za Bandari Tanzania Bara (TPA) ameahidi kujenga uwanja mkubwa na wa kisasa wa michezo katika eneo la Kizimkazi, Zanzibar.
Mkurugenzi Mkuu wa TPA ameyasema hayo leo katika kilele cha Tamasha la Kizimkazi huku mgeni rasmi akiwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.
Hakika maendeleo hayana mahali.
Una hojaMbona mlisema TPA haipati faida kwa sababu ya wezi wanaofanya kazi humo mpaka mkaamua kumpa bandari DPW. Sasa nauliza hivi: Hizo fedha za kujenga uwanja zinatoka wapi? Mtuambie pia kama hao wezi wameshazirudisha.
Wananchi ndo nuksiCcm ni nuksi.
Sijui viongozi wetu wana shida gani kutwa kujipendekeza.Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka za Bandari Tanzania Bara (TPA) ameahidi kujenga uwanja mkubwa na wa kisasa wa michezo katika eneo la Kizimkazi, Zanzibar.
Mkurugenzi Mkuu wa TPA ameyasema hayo leo katika kilele cha Tamasha la Kizimkazi huku mgeni rasmi akiwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.
Hakika maendeleo hayana mahali.
Kuna vitu vingine ni vya kijinga sana .....Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka za Bandari Tanzania Bara (TPA) ameahidi kujenga uwanja mkubwa na wa kisasa wa michezo katika eneo la Kizimkazi, Zanzibar.
Mkurugenzi Mkuu wa TPA ameyasema hayo leo katika kilele cha Tamasha la Kizimkazi huku mgeni rasmi akiwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.
Hakika maendeleo hayana mahali.
Acha umalaya dada anguTuweni na upendo na tusiwe kama wanasiasa.kazi ya upinzani kwa tz ni kupinga pinga hadi sisi wananchi tumekua wapinzani wa serikali kweli
Xx kuna ubaya gani kikijengwa? Toeni hoja yenye mashiko tuone ubaya wake vinginevo ni wivu wa kijinga mnooo
Na tunaonyesha roho zetu zilivo
Mkuu hivi na leso za baka pia ni miongoni mwa nyara zao?😆Yaleyale ya Chato yanajirudia,Halafu jeshi letu lipo bize kutafuta Leso zenye mabaka mtaani ili wakae nazo wao.