TPA: Tutajenga Uwanja Mkubwa wa Kisasa wa Mpira wa Michezo hapa Kizimkazi

TPA: Tutajenga Uwanja Mkubwa wa Kisasa wa Mpira wa Michezo hapa Kizimkazi

Yaleyale ya Chato yanajirudia,Halafu jeshi letu lipo bize kutafuta Leso zenye mabaka mtaani ili wakae nazo wao.

Acha wivu mkuu uwanja ni kwa ajili ya wananchi sio siasa tunataka tufike mbali kimichezo alaf kiwanja kinajengwa hutaki aya sema kiwe wapi ndio uone atujachezea ela
 
Weka taarifa sawa, jana nimefuatilia tukio hilo, na ni wadau wa maendeleo kwa umoja wao ndio watakaojenga uwanja huo wa kisasa, ambao pamoja na vingi utakuwa na viwanja vitatu vya mpira, jengo la mazoezi, viwanja vya mpira wapete, mkono, mabwawa ya kuogelea etc

Na wadau hao ni benki zaidi ya tano nmb, crdb,azania,nbc,Equity na mashirika kama Tanroads, Tanesco, TPA huku wakiahidi kuwa wadau wengine wataungana nao baadae


Ukisema TPA peke yake unamislead watu for no reason!, Anaehitaji taarifa zaidi na uwanja ulivyo afuatilie streaming ya live ya jana ya Ikulu kule Youtube, imeelezea kwa kina na ilisomwa na Nsekela wa CRDB mbele ya Rais Samia

Mkuu wa tz tunasifa ya kueneza uwongo kuliko ukweli mpk masuala ya maendeleo tunapinga inaonyesha ujinga wetu kichwani
 
Tuweni na upendo na tusiwe kama wanasiasa.kazi ya upinzani kwa tz ni kupinga pinga hadi sisi wananchi tumekua wapinzani wa serikali kweli
Xx kuna ubaya gani kikijengwa? Toeni hoja yenye mashiko tuone ubaya wake vinginevo ni wivu wa kijinga mnooo
Na tunaonyesha roho zetu zilivo
 
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka za Bandari Tanzania Bara (TPA) ameahidi kujenga uwanja mkubwa na wa kisasa wa michezo katika eneo la Kizimkazi, Zanzibar.

Mkurugenzi Mkuu wa TPA ameyasema hayo leo katika kilele cha Tamasha la Kizimkazi huku mgeni rasmi akiwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

Hakika maendeleo hayana mahali.
Mbona mlisema TPA haipati faida kwa sababu ya wezi wanaofanya kazi humo mpaka mkaamua kumpa bandari DPW. Sasa nauliza hivi: Hizo fedha za kujenga uwanja zinatoka wapi? Mtuambie pia kama hao wezi wameshazirudisha.
 
Mbona mlisema TPA haipati faida kwa sababu ya wezi wanaofanya kazi humo mpaka mkaamua kumpa bandari DPW. Sasa nauliza hivi: Hizo fedha za kujenga uwanja zinatoka wapi? Mtuambie pia kama hao wezi wameshazirudisha.
Una hoja
 
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka za Bandari Tanzania Bara (TPA) ameahidi kujenga uwanja mkubwa na wa kisasa wa michezo katika eneo la Kizimkazi, Zanzibar.

Mkurugenzi Mkuu wa TPA ameyasema hayo leo katika kilele cha Tamasha la Kizimkazi huku mgeni rasmi akiwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

Hakika maendeleo hayana mahali.
Sijui viongozi wetu wana shida gani kutwa kujipendekeza.
Sijui hakuna wa kuwakemea, Raisi nae anawatazama tu aisee.
 
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka za Bandari Tanzania Bara (TPA) ameahidi kujenga uwanja mkubwa na wa kisasa wa michezo katika eneo la Kizimkazi, Zanzibar.

Mkurugenzi Mkuu wa TPA ameyasema hayo leo katika kilele cha Tamasha la Kizimkazi huku mgeni rasmi akiwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

Hakika maendeleo hayana mahali.
Kuna vitu vingine ni vya kijinga sana .....
 
Tuweni na upendo na tusiwe kama wanasiasa.kazi ya upinzani kwa tz ni kupinga pinga hadi sisi wananchi tumekua wapinzani wa serikali kweli
Xx kuna ubaya gani kikijengwa? Toeni hoja yenye mashiko tuone ubaya wake vinginevo ni wivu wa kijinga mnooo
Na tunaonyesha roho zetu zilivo
Acha umalaya dada angu
 
CCM ni laana katika hii Nchi.
 
Back
Top Bottom