TPDC: Mafuta yaliyopo yatosha siku 15

Ila mafuta ulikuwa unapata, vp sasa hivi uwazi upo? Je mafuta yapo ya uhakika?,so impact ya kukosekana kwa mafuta ina ambatana na upandaji wa gharama za maisha, sasa bora kipi uwazi bila mafuta au uficho na mafuta ya kutosha.
Subiri siku 15 zipite ndio uje useme nimekosa mafuta , ila sasa hivi bado yapo, kipindi cha jiwe vitu vilikua vikikosekana lawama zinaenda kwa wafanya biashara kua wameficha mfano mafuta ya kula na sukari kulikua hakuna ukwel
 
Subiri siku 15 zipite ndio uje useme nimekosa mafuta , ila sasa hivi bado yapo, kipindi cha jiwe vitu vilikua vikikosekana lawama zinaenda kwa wafanya biashara kua wameficha mfano mafuta ya kula na sukari kulikua hakuna ukwel
Usubirie siku 15,then ndipo tuhoji manake mpaka sasa kwa hali hii wafanyabiashara washatake advantage na hii situation manake mafuta yataanza kupanda ndani ya siku hizi 15.
 
Kwani mliwah kukoss mafuta?
Ndio nashangaa yaani hawa mfu wamefufuka wanataka kuonesha wanaweza wakati yaliwashinda halafu anaongea uwongo bila kuwa na aibu. Hayo yakuleta mafuta si nyinyi ndio mnaratibu fungueni kila mtu alete anavyotaka halafu tuone ushindani. Msomi mzima unaongea uwongo unaingiza siasa unadhani watu wajinga. Pumbavu kabisa. Mafuta ya baba yenu mpaka muuziwe bure msilete ujinga wenu kama wa kila contract Suma JKT imekuwa kama kampuni mnauwa private sector
 
Haya majitu ya cccm uongozi wa nchi umeshayashinda, sijui tutayachekea chekea hadi lini, ipo siku gesi za kuhudumia wagonjwa mahospitaln mtaambiwa zimeisha.
 
Ukikosa mafuta huwezi kujua?
Tatizo kipindi hicho tulikua hatuambiwi hiki kitu hakipo , Bali walikua wanalalamikiwa wafanya biashara kua wameficha , mfano ni mafuta ya kula na sukari .
 
Sidhani kama kauli hii itamfanya aendelee na kazi yake kwa muda mrefu. Nasema sidhani.
Ukiona hivi ujue kuna fukuto. Wanasiasa na matajiri wameshamuingilia. Yupo tayari kwa lolote ukiona hivi. Tuendako ni kubaya zaidi.

Hatukujua sisi kama mafuta yaliwahi kushuka hadi kufikia ziro ila katuambia wakati serikali na waziri wanasema bei imepanda soko la dunia, mara tumetoa tozo.
 
Anatapata tapata tu ila muda utaongea tu na atajulika nani mkweli ila kadili siku zinavyo enda wanazidi kuumbuka na kuna siku watakataana na kugombana wao kwa wao.
We jamaa una akili sana. Huko mbele tutashuhudia wakimtukuza sana JPM na yeyote atakayembeza atakuwa adui yao. Muda utasema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…