TPDC: Mafuta yaliyopo yatosha siku 15

Mama ana kazi kweli kweli,
Huku ajenge inchi ,
Huku apambane na upinzani uchwara,. Huku apambane na maadui zake wakiwa ndani ya ofisi yake
Upo sahihi mkuu , asilimia kubwa ya wanaokwamisha nchi sasa hivi ni wafuasi wa mwendazake waliowekwa kwenye system , sasa sijui wanawafanya hivyo kwa maslah ya nani , au sijui wanajua kua kipenzi chao atarudi tena
 
Upo sahihi mkuu , asilimia kubwa ya wanaokwamisha nchi sasa hivi ni wafuasi wa mwendazake waliowekwa kwenye system , sasa sijui wanawafanya hivyo kwa maslah ya nani , au sijui wanajua kua kipenzi chao atarudi tena
Samia akiwa na mawazo ya kijinga kama haya yako atapata sana.
 
Kwa maelezo haya mimi sijamuelewa, yaani yeye kama mtendaji analalamika, na hajuhi ni sababu zipi zimepelekea hili tatizo, badala yakuja na njia sahihi za kutatua hili tatizo. Haoni aibu kabisa, anawaambia wananchi hivi na bado yupo ofisini.
 
Maelezo marefu ila ukisoma vizuri utagundua TPDC ndiyo chanzo cha uhaba huo wa mafuta unaotarajiwa.

Pambafu kabisa.
 
Kabisa!
Na siamini kama atakuwa na akili za kijinga kwamba eti wafuasi wa Magufuli wanamkwamisha!

Kwani yeye ni mfuasi wa nani?

Na hao wafuasi wa Magufuli ni kina nani? Wanamfuata kwenye lipi?
Yaani kwa akili zako za kawaida inadhani mama alikua mfuasi wa magu , kwel ww ndio hujui lolote , wakati kuna kipindi alitaka kuondoka kwenye nafasi aliyokuwepo ,wakongwe waka mplease tu ,.
 
Usubirie siku 15,then ndipo tuhoji manake mpaka sasa kwa hali hii wafanyabiashara washatake advantage na hii situation manake mafuta yataanza kupanda ndani ya siku hizi 15.
Umesoma mpaka mwisho!!?..Umeambiwa Kuna mafuta yapo njiani,muda wowote yanaingia
 
Yaani kwa akili zako za kawaida inadhani mama alikua mfuasi wa magu , kwel ww ndio hujui lolote , wakati kuna kipindi alitaka kuondoka kwenye nafasi aliyokuwepo ,wakongwe waka mplease tu ,.
Yani unataka na mimi niwe mpumbavu wa kula maneno ya kwenye vijiwe?

Nmekuuliza wafuasi wa Magu ni wapi na wanamfuata kwenye lipi hadi waanze kumhujumu Samia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…