TPDC: Mafuta yaliyopo yatosha siku 15

Upo sahihi mkuu , asilimia kubwa ya wanaokwamisha nchi sasa hivi ni wafuasi wa mwendazake waliowekwa kwenye system , sasa sijui wanawafanya hivyo kwa maslah ya nani , au sijui wanajua kua kipenzi chao atarudi tena
Acheni kutafuta excuse. Mbona huyo boss wa Nishati alitoa masharti watu fulani waondoke ndio afanye kazi? Wameondolewa wote bado mnahangaika na visingizio vya sabotage? Mpira ni rahisi ukiwa jukwaani, unaona wanaocheza uwanjani wazembe sana.
 
Hii reverse psychology, mafuta yapo. Watu hamnunui mafuta ya kutosha, mafuta mengi yanaagizwa lakini Tunduma watu wanavuka boda kununua mafuta Zambia.
Hata mimi nahisi hawa wauzaji wanataka kuuza mzigo wao faster kabla ya mzigo wa serikali kuanza kuingia.
 
Kama mwananchi anavyonunua nyanya za jero, kitunguu cha jero, mafuta ya kula ya buku...serikali nayo iko hivyo hivyo...kutonunua vitu in bulk kunaanzia ngazi ya familia hadi taifa...

Au nasema uongo ndugu zangu?
There you are !! Ha ha Haa!!
 
Ewura shida iko kuubwa

Sijaelewa Kwahiyo TPDC watakuwa wananunua Mafuta na Kuuza/Kusambaza?
Kama ndio itakuwa kwa wateja wa Jumla tuu au hata sisi wa reja reja...Kwa maana ya Kuuzia kwenye vituo vya mafuta AKA “Sheli”?
Hizi Wiki Mbili Zijazo watawauzia Kina Nani?
Yaani Mafuta Yakishakuja pale Bandarini watatahifadhi kwenye Store yao/Tank?
Halafu wanawauzia Makampuni?
Kama ni vituo vya mafuta vipi vya kwao au ?
 

Kwa Alie Elewa:

Sijaelewa Kwahiyo TPDC watakuwa wananunua Mafuta na Kuuza/Kusambaza?
Kama ndio itakuwa kwa wateja wa Jumla tuu au hata sisi wa reja reja...Kwa maana ya Kuuzia kwenye vituo vya mafuta AKA “Sheli”?
Hizi Wiki Mbili Zijazo watawauzia Kina Nani?
Yaani Mafuta Yakishakuja pale Bandarini watatahifadhi kwenye Store yao/Tank?
Halafu wanawauzia Makampuni?
Au Tayari wana Vituo vyao?
 
Zamani serikali ilikuwa inaagiza kwa Bulk Procurement,
Huu mfumo haupo tena?
Au ndio Todc ame take over?
Sijajua Tofauti ya Uagizwaji na usanbazwaji wa Zamani na sasa hivi!
Yaani Sijajua Role ya Tpdc sasa hivi!
 
Naona kuna washenzi fulani kila yanapotokea mapungufu ya utawala wa Samia Suluhu wanaelekeza hasira kwa Magufuli.

Wapuuzi wengine wanamtetea kuwa anahujumiwa na genge la mwandazake! Very silly allegations,

Kuweni na akili za kuelewa mambo, rais aliyepo madarakani hawezi kuhujumiwa kirahisi kwenye mambo nyeti ya kugusa uchumi wa nchi kama haya.

Udhaifu wake msiufunike kwa kuendelea kumsafisha kwa jasho la Mwendazake.

Mafuta yataenda kupanda na bidhaa zitapanda na hali ya maisha itakuwa ngumu.
 
[emoji631] Kule Alska na awii amejanza mafuta mpaka maeneo hayo yakuwa na tetemeko la Ardhi kutokana na mzigo mzito
Umeandika ujinga ujinga tu. Hebu soma uediti ulichoandika.

Alska ### Alaska, awii ### Hawaii, amejanza #### ndio nini?, yakuwa ### ndio nin?

Punguza spidi ya uandishi mbele ya wajuba rijali [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
 
Punguza mihemko, uwongo #### uongo.
 
Kama mwananchi anavyonunua nyanya za jero, kitunguu cha jero, mafuta ya kula ya buku...serikali nayo iko hivyo hivyo...kutonunua vitu in bulk kunaanzia ngazi ya familia hadi taifa...

Au nasema uongo ndugu zangu?
Tukaombe tenda ya kujenga ma bunkers ya kuweka akiba ya mafuta.
 
Blah blah tu kama kawaida yao
 
Kama mwananchi anavyonunua nyanya za jero, kitunguu cha jero, mafuta ya kula ya buku...serikali nayo iko hivyo hivyo...kutonunua vitu in bulk kunaanzia ngazi ya familia hadi taifa...

Au nasema uongo ndugu zangu?
Tukaombe tenda ya kujenga ma bunkers ya kuweka akiba ya mafuta.
 
Mafuta Yana tozo na kodi zaidi ya 25, hayo yatakayoagizwa na tpdc yataondolewa kodi??

Maccm bana sijui nani aliyaloga
 
Anatapata tapata tu ila muda utaongea tu na atajulika nani mkweli ila kadili siku zinavyo enda wanazidi kuumbuka na kuna siku watakataana na kugombana wao kwa wao.
kadili #### kadri, zinavyo enda #### zinavyoenda
 
Upo sahihi mkuu , asilimia kubwa ya wanaokwamisha nchi sasa hivi ni wafuasi wa mwendazake waliowekwa kwenye system , sasa sijui wanawafanya hivyo kwa maslah ya nani , au sijui wanajua kua kipenzi chao atarudi tena
kua #### kuwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…