Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
Serikali Kupitia Rais imepambana sana kuhakikisha miradi mikubwa inafunguka kwa ajili ya kunufaisha Watanzania wote.
kwanini Mataragio na Genge lako hapo TPDC mnakwamisha mradi wa Gesi asilia? Mnazuia vibali vya makampuni kufungua vituo vya kujaza Gesi kwenye magari kwa maelekezo ya nani? Hata hao wenye sheli walishaomba vibali ili nao wawe na pampu za Gesi asili bado mmewanyima wakati sisi tulijua labda wao ndio wanawapeni rushwa mgomee vibali?
Je, tukisema unamkwamisha Rais katika kuleta maendeleo itakuwa uongo? Nchi nzima vituo vya kujaza Gesi kwenye magari vipo VIWILI tu kweli jamani miaka 60 ya Uhuru ndio aibu hizi?
Serikali ikatoa hela ikaleta mitungi ya Gesi kwa ajili ya magari mkajipendelea mkawekea wafanyakazi wenu tu hapo TPDC halafu wooooote wamekuja kujazana kwenye kituo cha ubungo kujaza gesi wakati mnajua hapana uwezo kuhudumia magari mengi?
Kama hamtaki kutoa vibali kwa nini mlifungia gesi magari ya staff wenu? kwanini msifungue kituo chenu hapo mikocheni mpate raha huko huko pamoja na mamishahara na marupurupu na mafuta ya petrol kibao mnayojipatiaga mnaona mje kujazana na walala hoi hapo ubungo!
Tukisema Mataragio umechoka akili au unafanya kazi kwa mazoea tutakuwa tumekosea?
Rais atuondolee aibu hii aibu hii ya kukaa foleni vituon kujaza gesi masaa!
Fukuza Mkurugenzi TPDC, huyo ashavimbiwa maisha.
kwanini Mataragio na Genge lako hapo TPDC mnakwamisha mradi wa Gesi asilia? Mnazuia vibali vya makampuni kufungua vituo vya kujaza Gesi kwenye magari kwa maelekezo ya nani? Hata hao wenye sheli walishaomba vibali ili nao wawe na pampu za Gesi asili bado mmewanyima wakati sisi tulijua labda wao ndio wanawapeni rushwa mgomee vibali?
Je, tukisema unamkwamisha Rais katika kuleta maendeleo itakuwa uongo? Nchi nzima vituo vya kujaza Gesi kwenye magari vipo VIWILI tu kweli jamani miaka 60 ya Uhuru ndio aibu hizi?
Serikali ikatoa hela ikaleta mitungi ya Gesi kwa ajili ya magari mkajipendelea mkawekea wafanyakazi wenu tu hapo TPDC halafu wooooote wamekuja kujazana kwenye kituo cha ubungo kujaza gesi wakati mnajua hapana uwezo kuhudumia magari mengi?
Kama hamtaki kutoa vibali kwa nini mlifungia gesi magari ya staff wenu? kwanini msifungue kituo chenu hapo mikocheni mpate raha huko huko pamoja na mamishahara na marupurupu na mafuta ya petrol kibao mnayojipatiaga mnaona mje kujazana na walala hoi hapo ubungo!
Tukisema Mataragio umechoka akili au unafanya kazi kwa mazoea tutakuwa tumekosea?
Rais atuondolee aibu hii aibu hii ya kukaa foleni vituon kujaza gesi masaa!
Fukuza Mkurugenzi TPDC, huyo ashavimbiwa maisha.