Mimi.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,120
- 3,059
Makamba ameingia na upigaji wa aina yake!
Lango liko wazi,watu wanajipimia tu!
January Haugopi wala haoni aibu anatafuta hela ya kampeni ya Uraisi 2025 ampindue Mh Raisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamba ameingia na upigaji wa aina yake!
Lango liko wazi,watu wanajipimia tu!
Miaka yote hiyo tangu wafanye exploration na uchimbaji wa gesi kule mtwara hawakum engage consultant.............au ndo ile kila anayeingia anatafuta upenyo wa kupiga, aka. kujipimia kwa urefu wa kamba............
Eti kweli...Hakuna mtu pale,tuvumilie tu maana unaweza kufa mapema bule ,ukifuatilia Mambo ya nchi hii!! hata hivyo wanakula kulingana na urefu wa kamba zao.hakuna namana
Uko vizuri.Na hiyo gas Ya kumlipa huyo consultant that billions of Money iko wapi kwanza na imeshatuingizia Faida shilingi ngapi kama Taifa
Ndipo mama atapogundua kuwa kumbe Kikulacho kii nguoni mwako.January Haugopi wala haoni aibu anatafuta hela ya kampeni ya Uraisi 2025 ampindue Mh Raisi
Bado naisubiri kwa hamu sana hiyo Tanzania ya kuongozwa na Makamba🤣, na nitakuwa radhi kwenda kuishi Rwanda ila sio Tanzania ya kuongozwa na Makamba. ......................................................................................................................................................... 2030 Ruagwa ni lazima hao wengine watasindikiza tu.Bado tunaye sana...
2030 anachukuwa fomu alafu Riz anakuwa mgombea mwenza, mzee wa Mtama anakuwa PM au Foreign Affairs.
Akipitishwa mwingine kugombea nfs ya mshika usukani basi atafundwa amchukuwe Riz kama mgombea mwenza ili mbele ya sfr mshika usukani anatengenezewa mazingira magumu yasiyovumilika serikalini na chamani ili ajiengue mwenyewe ili riz akaimu nfs kwa mujibu wa Katiba na hapo tayari ndoto zitakuwa zimetia kama za Karume Dynasty na Mwinyi Dynasty.
All in all nfs 3 za mshika usukani, PM na Foreign Affairs 2031... lazima zitacheza kwa hao wa3 tu.
Political Barometer (utabiri wa kisiasa siyo jinai)
Nani sasa this time?
Mtakuwa nchi ya aina gani hiyo duniani?
Hilo roho limeishatambikiwa limeenda one-off.
Hahahaaa.... mkuu, you have made my day.
Kazi gani anayoifanya ndugu zaidi ya kutumia muda wake kuunyesha umma wa Tanzania that he is there, Kazi ilisha mshinda. Wala sina majungu dhidi yake na nina muheshimu sana kwani yeye ni chaguo na pia nakukumbusha aliye muweka amemuweka kwaajili yetu wanyonge. 😀Mwache mwenzio afanye kazi, aliyemteua ndio anajua umuhimu wake, majungu hayasaidii, leo Makamba angetangaza kupanda bei za mita bila kumsikia mama aliagiza, ingekuwa balaa kwake, mnamfanya mtu asijiamini!
Naona sasa unanishambulia kwa matusi, Asante sana japo hilo halitabadilisha ukweli na pia link yako hiyo ni😛 404https://www.afdb.org/fileadmin/uplo..._Government_Negotiation_Team__GNT_.pdf,zabuni ilitangazwa wakati makamba hakuwa waziri ,kima weee
Naona sasa mnanishambulia kwa matusi, japo hilo halitabadilisha ukweli kwamba mtu wenu promo ndo zinamuweka mjini.Basi tumpe mumeo hiyo wizara dada!
Huyu naona amekuja kututukana sasa, 🤣 "wana sema ukikiona kifaranga basi jua mamaye hayuko mbali"Linamlimda mama yako na uko wako wote
Kabudi na mkataba wa kununua korosho anaweza.Hakuna Local Firm inayoweza Kufanya hio kazi??
Unafikiri gesi ni mambo mepesi😄😂😂fikiria mara mbili.Zitto alikuwa analalama kuwa 2015 tulikabidhi nchi kwa washamba, baada ya mshamba mkuu kufariki sasa wamekuja wajanja tuliokuwa tunawataka, ni mwendo wa mikataba tu na makampuni ya nje.
Sasa kwa nini mashuleni tunatumia kiingereza?Unafikiri wajapan au wachina wakiwa katika negotiations na mabeberu wanajali hilo ng'eng'e, na sio lazima ujue ng'eng'e katika haya mambo unaweza kutumia mkalimani, kiingereza is overated na wanaoburuzwa na hiyo lugha ni maskini tuu wasiojiamini, manchi kama China au Russia wakija mezani ni kirusi au kichina tuu ni juu yako kutafuta mkalimani ili uwaelewe
Hongera kwa kumpamba mkufunzi wako.Mtaalam wa negotiations aliyesomea na hata kwenye wasifu wake ipo ni Prof. Luoga Governor, tena ana mastery (ubobezi) ya sheria za kimataifa za fedha, biashara na mikataba. Kabudi ni mbobezi wa sheria za kawaida tu, ila ana ujasiri kuzidi simba dume kwenye kukabili mabeberu, alafu anaogopa kama ukoma senti tano ya serikali, sifa ambazo Watz wengi hawana. Kwenye usafi wa maadili namlinganisha Kabudi na Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufaa Tz Mhe. Lameck Mfalila.