TPL: kutoka uwanja wa Taifa Yanga SC vs Mwadui FC

Daaah Ligi ya Tanzania dhaifu Sana Bora Simba wanacheza ligi ya Mabingwa Africa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa ligi ya Bongo ni dhaifu mno.Ndiyo maana Timu inayotoka kwenye ligi dhaifu lazima kwenye mashindano ya kimataifa ichukuliwe kama dhaifu.Nadhani Simba wameanza kumuelewa Shaffih Dauda aliposema Simba ni Underdog kwenye kundi lake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata ile JS Soura mechi ya Marudiano Simba itafungwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…