OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
[emoji16][emoji23]Kweli hizi ni update. Watu wanasema goli halafu haijulikani ni goli la shahawa au lipi na limetokeaje,na nani amefunga
HahahaKweli hizi ni update. Watu wanasema goli halafu haijulikani ni goli la shahawa au lipi na limetokeaje,na nani amefunga
Hahahahahahahahahahahah kama kawaida yako haya bwanaYanga wanapiga kandanda la watu walioshiba na waliolipwa pesa nyingi....
Huyu kocha tungempata enzi zile za neema mikia mngeshuka daraja maninaa
Sawa ndugu asante, angalau sasa nimepata kitu kilichopoHahaha
Kafunga mrisho khalfan ngasa ankooo(enjoy soka)
Pasii imetoka kwa mzee wa makorokoro ibrahim ajib migomba
Tulia shemela hawa azam wanakula miguu ya bajaji hapa...Hahahahahahahahahahahah kama kawaida yako haya bwana
TawileeeYanga wanapiga mpira wa uhakika kama BARCELONA vile. Yanga hii wangecheza na TP MAZEMBE . Na uhakika TP MAZEMBE wangefungwa sio chini ya goli 5
Hahahaha sawa shemTulia shemela hawa azam wanakula miguu ya bajaji hapa...
HahahahahaahahahahahahahahYanga wanapiga mpira wa uhakika kama BARCELONA vile. Yanga hii wangecheza na TP MAZEMBE . Na uhakika TP MAZEMBE wangefungwa sio chini ya goli 5
Unazungumzia TP Mazembe wakati likitajwa jina "Lipuli" unakuwa ni kama Panya aliyesikia sauti ya Paka?Yanga wanapiga mpira wa uhakika kama BARCELONA vile. Yanga hii wangecheza na TP MAZEMBE . Na uhakika TP MAZEMBE wangefungwa sio chini ya goli 5