Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Wangechezesha mechi ya simba tungesikia mengiHawa marefa wa Leo kama hawatafungiwa TFF mtoa sababu za msingi.
Kwanza wamewanyima Azamu goli la wazi kabsa .
Afu Yanga wanashika mpira kwenye boksi refa anaacha tu