kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,341
Ha ha ha duuYanga wanapiga mpira wa uhakika kama BARCELONA vile. Yanga hii wangecheza na TP MAZEMBE . Na uhakika TP MAZEMBE wangefungwa sio chini ya goli 5
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha duuYanga wanapiga mpira wa uhakika kama BARCELONA vile. Yanga hii wangecheza na TP MAZEMBE . Na uhakika TP MAZEMBE wangefungwa sio chini ya goli 5
😂😂😂Kweli hizi ni update. Watu wanasema goli halafu haijulikani ni goli la shahawa au lipi na limetokeaje,na nani amefunga
Wanakaterero jeUnazungumzia TP Mazembe wakati likitajwa jina "Lipuli" unakuwa ni kama Panya aliyesikia sauti ya Paka?
Wa Mtibwa au?Wanakaterero je
TRASPOTA! (in Ebitoke's Voice)Unazungumzia TP Mazembe wakati likitajwa jina "Lipuli" unakuwa ni kama Panya aliyesikia sauti ya Paka?
[emoji23]TRASPOTA! (in Ebitoke's Voice)
Ha ha haMpirwa unapigwa mwingi sana hadi unamwagika....
Mtangazaji wewe umenishinda tabiaMpirwa unapigwa mwingi sana hadi unamwagika....
Ingekua sio mambo ya marefa kupokea m pesa kutoka kwa mikia, yanga na azam ulitakiwa wawe ndio wanagombania ubingwaMtangazaji wewe umenishinda tabia
Kabisa kabisaIngekua sio mambo ya marefa kupokea m pesa kutoka kwa mikia, yanga na azam ulitakiwa wawe ndio wanagombania ubingwa
Na game ya leo ndio ulitakiwa iwe fainali...Kabisa kabisa
Hakuna ubishi katika hiloIngekua sio mambo ya marefa kupokea m pesa kutoka kwa mikia, yanga na azam ulitakiwa wawe ndio wanagombania ubingwa
Hakikaa mkuuuHakuna ubishi katika hilo